colony
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 361
- 494
Jaman nisaidieni nina tatizo la kutokwa udenda pindi nilalapo naombeni kama kuna mtu anajua tiba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora yako brooHili tatizo nimeshudia Kwa dada wa kazi, sehemu, akiamka asubuhi mto umerowa kabisa mwanzo nilikuwa siamini baadae nilipogundua kwamba ni kweli nilimuhurumia sana, sio la kucheka hili, fikiria kama yule binti Nani atakubali kuishi na.mke wa hivyo? Anayejua tiba ya kweli atoe itawasaidia wengi
Sent using Jamii Forums mobile app