Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Tunaye baba yetu mkubwa aanatokwa na haja ndogo muda wowote hivi tatizo ni nini? dawa ni ipi ya kienyeji au ya kizungu. nomba msaada kwa hili.
Zaweza kuwa dalili mbaya za tezi dume!Muone ni mtaalamu wa urology,
nashukuru yuko wapi muhimbili auMuone ni mtaalamu wa urology,
Tezi dume huzuia mkojo hautoki kwani huwa chini ya kibofu cha mkojoZaweza kuwa dalili mbaya za tezi dume!
Kuna vijiwe sehemu ya kutolea haja ndogo ndio maana mkojo unamtoka tu. Am guessing....Tunaye baba yetu mkubwa aanatokwa na haja ndogo muda wowote hivi tatizo ni nini? dawa ni ipi ya kienyeji au ya kizungu. nomba msaada kwa hili.
Atakuwa kwenye hospitali kubwa, Muhimbili inawezekananashukuru yuko wapi muhimbili au
Daktari wa mikojo na nini????Kuna vijiwe sehemu ya kutolea haja ndogo ndio maana mkojo unamtoka tu. Am guessing....
Mfano mchanga ukiingia kwenye tube ya baiskeli upepo huwa unatoka bila kizuizi. Kwa maelezo zaidi mwine daktari wa mambo ya mikojo na makojoleo.
Daktari wa mikojo na nini????Kuna vijiwe sehemu ya kutolea haja ndogo ndio maana mkojo unamtoka tu. Am guessing....
Mfano mchanga ukiingia kwenye tube ya baiskeli upepo huwa unatoka bila kizuizi. Kwa maelezo zaidi mwine daktari wa mambo ya mikojo na makojoleo.
Daktari wa mikojo na nini????Kuna vijiwe sehemu ya kutolea haja ndogo ndio maana mkojo unamtoka tu. Am guessing....
Mfano mchanga ukiingia kwenye tube ya baiskeli upepo huwa unatoka bila kizuizi. Kwa maelezo zaidi mwine daktari wa mambo ya mikojo na makojoleo.
Mbona unacheka mkuu?Daktari wa mikojo na nini????
Mkuu umesema amuone daktari wa mikojo na nini vile????Mbona unacheka mkuu?
Rudi usome tenaMkuu umesema amuone daktari wa mikojo na nini vile????
Na makojoleo....Mkuu umesema amuone daktari wa mikojo na nini vile????
AhsanteNa makojoleo....