Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Habari kwa wote wakuu! Hope mpo njema

TATIZO...

Ni sku chacbe zilizopita ndo niligundua tatizo

Ni ile tu baada ya kumaliza kujisaidia haja kubwa (kunya) zile dakika za mwisho baada y kuangaza macho kwny ile sink nyeupe nilishangaa kuona imetapakaa damu y nyingi sana tena ile damu mbichi

Baada y kujichunguza kwa makini niligundua ile damu inadondoka kwa matone kutoka kwny njia y haja kubwa though sikuwa na maumivu yoyote ndio maana nilishndwa hata kuelewa ile damu ilitoka wap na nadhan bila kuichungulia ile sink hata nisingeweza kujua km nina hilo tatizo

Next time nilikuwa makn kujichungua km ile damu itatoka tena na inaanzia wap...

Soon baada y kuchuchumaa na kuanza kusukuma mzigo niliona matone ya damu yanatoka kwa kasi sana mpaka sink yote ilitapakaa damu, na hata nilipomaliza kushusha mzigo kile kitendo cha kuendelea kuchuchumaa pale kwny sinkvitome vya damu mbichi viliendelea kutoka but hakuna maumivu yoyote Yale

MSAADA...

Kabla cjafikia hatua ya kwenda hospital naamin humu ndan kuna madaktari, wataalamu kibao was afya wenye experience na changamoto tofauti za kiafya

Yoyote ambye ana experience na hili tatizo naomba aje anisaidie kunpa maelezo ya hili tatizo yan
-ugonjwa gan huu?
-chanzo?
-tiba ni nin?

Msaada plz
kwanza kabisa unapata choo kigumu au laini

ikiwa unapata choo kigumu basi huna ugonjwa wowote kula vyakula vya kulainisha choo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mishipa midogo midogo ya kwenye anus inakuwa imepasuka. Kutokana kuwa na choo kigumu Mara kwa Mara ama kujikamua sana wakati wa forodha. (Kushusha mzigo).
 
Ndugu wanajamvi nimeamka asubuhi kujisaidia kwa mshangao mkubwa kinyesi kimejaa damu ilihali najiona sina tatizo au maumivu ya aina yoyote.

Wajuvi wa magonjwa na tiba naombeni kujua tatizo linaweza kuwa nini?

Mimi hunywa sana pombe kali.
 
Nenda hospitali haraka.
Choo kigumu au kilaini? Na ilichukua muda gani tokea upate choo mara ya meisho na hii iliyotokea chenye damu?
 
Ndugu wanajamvi nimeamka asubuhi kujisaidia kwa mshangao mkubwa kinyesi kimejaa damu ilihali najiona sina tatizo au maumivu ya aina yoyote.

Wajuvi wa magonjwa na tiba naombeni kujua tatizo linaweza kuwa nini?

Mimi hunywa sana pombe kali.
una kunywaga gongo?? au kinywaji gani, nenda hospital mkuu
 
Ndugu wanajamvi nimeamka asubuhi kujisaidia kwa mshangao mkubwa kinyesi kimejaa damu ilihali najiona sina tatizo au maumivu ya aina yoyote.

Wajuvi wa magonjwa na tiba naombeni kujua tatizo linaweza kuwa nini?

Mimi hunywa sana pombe kali.
Imeambatana na homa au kichwa kuuma?
 
Back
Top Bottom