mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,395
- 3,197
Mrisho Mpoto,sijui kwanini huwa hajiamini ktk Muziki.
Kila wimbo anaoimba lazima afanye Featuring na msanii mwenzake ili abebwe ktk kiitikio(chorus) bila ya hivyo jamaa angekua bado ni msanii chipukizi(underground).
Kama anajiamini awe anasimamia wimbo yeye mwenyewe la sivyo aendelee
KUMWAGA RADHI.
Kila wimbo anaoimba lazima afanye Featuring na msanii mwenzake ili abebwe ktk kiitikio(chorus) bila ya hivyo jamaa angekua bado ni msanii chipukizi(underground).
Kama anajiamini awe anasimamia wimbo yeye mwenyewe la sivyo aendelee
KUMWAGA RADHI.