kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu,ushauri

kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu,ushauri

miagi

Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
15
Reaction score
4
je iwapo utakaa mbali na mpenzi wako ,kwa mda mrefu na unampenda na huwezi kumcheat,je kutokufanya mapenzi muda mrefu ,labda miaka minne kuna madhara yeyote kiafya,,mimi ni mwanaume
 
je iwapo utakaa mbali na mpenzi wako ,kwa mda mrefu na unampenda na huwezi kumcheat,je kutokufanya mapenzi muda mrefu ,labda miaka minne kuna madhara yeyote kiafya,,mimi ni mwanaume
Weka wazi kaka, miaka minne bila kufanya mapenzi kwa mpenzi wako tu au mwanamke yeyote? Maana umeomba ushauri kama kuna madhara!
 
me sidhan kama kuna madhara bt unamuaminije huyo mpenzi wako km hulo alipo ametulia?
 
Weka wazi kaka, miaka minne bila kufanya mapenzi kwa mpenzi wako tu au mwanamke yeyote? Maana umeomba ushauri kama kuna madhara!

Aweke wazi kiaje wakati kasema hataki kumchiti mpenziwe which means hafanyi na wengine..
Tukirudi kwenye mada hakuna tatizo kiafya..Na ukitaka kumudu ji keep busy na kazi zako na mazoezi..Epuka pombe na marafiki wabaya.Pia uwe mtu wa ibada
 
Jaribu uone mkuu! Madhara sidhani ila kuna changamoto na changamoto hizo usipokuwa makini zinaweza kusababisha madhara makubwa. Kwa mwanaume miaka 4 ni mingi utajikuta unachafua shuka usiku au kupiga pool bila kupenda labda uwe na tatizo.
 
Aweke wazi kiaje wakati kasema hataki kumchiti mpenziwe which means hafanyi na wengine..
Tukirudi kwenye mada hakuna tatizo kiafya..Na ukitaka kumudu ji keep busy na kazi zako na mazoezi..Epuka pombe na marafiki wabaya.Pia uwe mtu wa ibada
Mhm (bolded) miaka minne!!!!!!!!
 
je iwapo utakaa mbali na mpenzi wako ,kwa mda mrefu na unampenda na huwezi kumcheat,je kutokufanya mapenzi muda mrefu ,labda miaka minne kuna madhara yeyote kiafya,,mimi ni mwanaume
Hakuna madhara yoyote kama huzini nje ya ndoa :biggrin:
 
Hatufanani..Sio kila unachoshindwa wewe wengine nao washindwe..Ndio maana kuna akina Bill Gates na kina Matonya.

binti sayuni umenichekesha sana why umemchagua matonya na si mwingine?
 
Jaribu uone mkuu! Madhara sidhani ila kuna changamoto na changamoto hizo usipokuwa makini zinaweza kusababisha madhara makubwa. Kwa mwanaume miaka 4 ni mingi utajikuta unachafua shuka usiku au kupiga pool bila kupenda labda uwe na tatizo.
Kweli kabisa miaka NNE kwa lijali? Tusidanganyane.
 
Hatufanani..Sio kila unachoshindwa wewe wengine nao washindwe..Ndio maana kuna akina Bill Gates na kina Matonya.
Sio katika maumbile ndugu. Mwanaume ni mwanaume tu labda awe na kasoro. Hujasikia rais Zuma alibaka ilihali akiwa na ngoma kama mbili hivi ndani?
 
je iwapo utakaa mbali na mpenzi wako ,kwa mda mrefu na unampenda na huwezi kumcheat,je kutokufanya mapenzi muda mrefu ,labda miaka minne kuna madhara yeyote kiafya,,mimi ni mwanaume

ulifanikiwa kumpata mchumba? mbona hujatupa feedback jamani.
 
siku mkikutana, utatoa magumu kama mbao, na pupa utakayokuwa nayo waweza baka mlango wake.
 
Wote nimewasikia ahsanteni.ila sio Mimi niliombwa ushauri tu na rafiki nikaona niwashirikishe.
 
Na je kama mwanamke kweli anakupenda.ni possible na yeye kukaa mda wote huo bila ya kufanya mapenzi?
 
Hakuna madhara ila zoezi kwa sana ili kupunguza kasi ya kuchafua shuka kila siku na usumbusu wa suruali kubana uonapo sketi.
 
Hakna madhara yoyote bro!as longer as u dnt do something stupid that will affect ur perfomance.
 
Back
Top Bottom