YoungPastor
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 463
- 706
Kunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
Kama mwanaume Rijali alafu Domo zege ,inabidi uwende Kwa madada poa wakusaidie tu, Kuliko kukaa kwa muda mrefu bila kupiga mzigo .Pampuchi kuwepo mpaka za buku, kwan ndo funguo ya kutembelea vitumbua kwa bidii?
Endelea na puli madhara utayapata baafayeKunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
Kuumwa na kichwa upande mmoja (kipanda uso) ,kupiga punyeto, kutamani sana wadada wenyw makalio makubwa, kuwa na hasira, msongo wa mawazo, kupenda kuangalia pono.Kunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
We mdanganye sasa,Hamna madhara endelea kujitunza.
Kunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
Acha maswali yaajabu inamaana hujui kua ukiakia kula kitu usle unadhoofika sasa hayo sindo madhara"Madhara ni kujiskia kufanya alafu usifanye"
madhara ni yapi?
Dah... Dogo kufanya mapenzi kunahitaji nguvu kidogo...asikudanganye mtu Kama huna nguvu unaweza kukaa hata miaka 100...na hakuna madhara yoyoteKunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
