Kutokufanya mapenzi kuna madhara?

Kutokufanya mapenzi kuna madhara?

Mkuu umesahau ile theory inayoweka waz kuwa jinsi unavyotumia kiungo cha mwili kwako mara kwa Mara ndivyo kinavyokuwa strong
 
Madhara yake ni makubwa sana, 1 kupata shambulio la moyo ( heart attack ) 2 kuwa na msongo wa mawazo, ( stresses ) 3 kuwa na hasira bila sababu, ( anger ) hayo ni baadhi tu ya madhara ambayo utakutana nayo.
Na mimi nijazie nyama kidogo,, kwa mwanaume ni hatari zaidi uwezekano wa kupata saratani ya tezi dume ni mkubwa,,na kuongezeka uzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda Kama wewe ni hanithi ila kama ni rijali utateseka Sana pale ukiona porn video au usikie kwa jirani ana nyandua papuchi kweli kweli na miguno ya kutosha
 
Wacha upuuzi wewe fanya mapenzi unataka uje utubakie dada zetu mambo yakikushinda..?
 
Kunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
Hakuna madhara kiongozi, mimi ni mmoja wapo sijaona madhara mpaka sasa na mambo mengi ysko poa na yakwenda kama kawaida.
 
Kunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?

kwa mwanamke ni sawa hamna shida sana..ila kwa mwanaume yale mangare yanahamia 0713...mwisho wa siku unaanza kupakuliwa wewe..so watchout usije ukawa msosi wa mabaharia....siku hizi watu hawaangalii pa kupiga wanabiponda tu hata kama unken...n..de kama wao...

ovaaaa
 
Kunamadhara yoyote yanayo mtokea mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu?
Dah.... inategemea na sababu...Kama uko bize sana hilo ni jambo jingine....ila shida ni ukata au domo zege hapo ni tatizo...ama utapiga puchu au utabaka....Kama utapiga puchu hapo hakuna tatizo....ila Kama utabaka hapo ni tatizo....ama utapigwa ufe au utakamatwa ufikishwe polisi...kama utakufa utakuwa umekufa...ila Kama utapelekwa polisi...dah

Sent using Beretta ARX 160
 
Two things involved! Kwamba akifungwa yy anaenda kuwa chakula
Dah.... inategemea na sababu...Kama uko bize sana hilo ni jambo jingine....ila shida ni ukata au domo zege hapo ni tatizo...ama utapiga puchu au utabaka....Kama utapiga puchu hapo hakuna tatizo....ila Kama utabaka hapo ni tatizo....ama utapigwa ufe au utakamatwa ufikishwe polisi...kama utakufa utakuwa umekufa...ila Kama utapelekwa polisi...dah

Sent using Beretta ARX 160

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom