Ndugu watanzania kuna maneno mengi yanasemwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, wanasiasa etc kuwa tusiandamane tarehe 9 December. Kutokuandamana hiyo kesho kutwa tafsiri yake ni kama ifuatavyo
1. Uchaguzi ulikwa ni huru na haki
2. Watu hawakuuwawa na hata kama waliuwawa basi ilikuwa ni haki wauwawe
3.Samia ni raisi halali wa Tanzania na tunapenda atutawale kwa kipindi cha miaka mitano ijayo na wabunge wote walichaguliwa kihalali.
4. Nchi yetu haina mambo ya utekaji na hata hao wanaodaiwa kutekwa haina sababu ya kuwatafuta ama kujua walipo
5. Hatuna haja ya katiba mpya
6. Nchi mbalimbali zilizosema uchaguzi wetu haukuwa halali ni waongo.
7.Nchi yetu ina haki
FIKIRI KWA UZALENDO NA CHUKUA HATUA KAMA MZALENDO UNAYEIPENDA TANZANIA
1. Uchaguzi ulikwa ni huru na haki
2. Watu hawakuuwawa na hata kama waliuwawa basi ilikuwa ni haki wauwawe
3.Samia ni raisi halali wa Tanzania na tunapenda atutawale kwa kipindi cha miaka mitano ijayo na wabunge wote walichaguliwa kihalali.
4. Nchi yetu haina mambo ya utekaji na hata hao wanaodaiwa kutekwa haina sababu ya kuwatafuta ama kujua walipo
5. Hatuna haja ya katiba mpya
6. Nchi mbalimbali zilizosema uchaguzi wetu haukuwa halali ni waongo.
7.Nchi yetu ina haki
FIKIRI KWA UZALENDO NA CHUKUA HATUA KAMA MZALENDO UNAYEIPENDA TANZANIA