Hivi kipi kikubwa alichofanya huyo morrison ambacho hakijafanywa na niyonzima, dilunga, chama? Mnadanganyika na mbwembwe zisizo na maana.Kibongobongo hapa Morrison ni mchezaji mwenye uwezo wa juu sana asee na sioni anayefanana nae. Ila sijapenda kitendo cha kupiga kiwiko mwenzie.