..Hongera kwake
Bulembo ana level gani ya elimu?Bulembo aliitamani sana hii nafasi kumbe ni special kwa dr’s
Yupo hai huyu mtu?Wapi Daudi Albert Bashite?
Nimchambuzi wa masuala ya kisiasa hasa kwa ngazi za kimataifa..Chama cha mapinduzi kimempitisha De Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kumrithi mwanasiasa machachari ndugu Abdurahman kinana.. Dr Bashiru si mtu mashuhuri (popular) kwani alikuja kujulikana zaidi baada ya kuteuliwa na Rais Magufuli kama mwenyekiti wa kamati ya kuchunguza mali za chama lakini zaidi ya hapo hana umaarufu wowote wala influence inayofahamika.
Chadema nao walimchagua Dr Mashinji katika mazingira ya aina hii. Tangu kuteuliwa kwa mashinji nafasi ya katibu mkuu IMEPWAYA.
Je wanaCCM wategemee kupwaya na mashinji mwingine huko CCM?
Kaweza kuwa mtu wa maneno mengi(kubwabwaja) na facts.Kwamba Magufuli kaweza kutobwajaja na kuwa anatoa facts zaidi?
hahahaa umemosea ndio lugha gani hii mkuu?Kubali umemosea sasa ubishi utakusaidia nini?
Facts zipi? Kama zile za makinikia ama?Kaweza kuwa mtu wa maneno mengi(kubwabwaja) na facts.
Ku-identify mafisadi wa aina zote na kuwatumbua.Facts zipi? Kama zile za makinikia ama?
mmmmmhhhhhhhh . . . . . .mi napita tuMiongoni mwa wachambuzi WA mambo ya siasa ni ndugu yetu Dr. Bashilu ambapo mwanzo alijinadi kuwa ni mtu huru, ghafla leo amekasimishwa madaraka makuu ya kiutendaji ndani ya chama ambacho alishawahi kusema hakitendi kwa haki.
Tumeona kwa kina PolePole na hata Professor Kabudi,je Dr Bashiru atanyamaza saa ya kula ama atadhuhutu kusema waombe kwanza kabla ya kuendelea kula?!!
ahahahaaaaaaaaaaaaa . . . .yaliyopo yanadatishaYajayo yanafurahisha, Mpo tayari.? Jiwe
Ebu wataje waliotumbuliwa, haswa wanasiasa.Ku-identify mafisadi wa aina zote na kuwatumbua.
Kitwanga na wengine.Ebu wataje waliotumbuliwa, haswa wanasiasa.
Kitwanga,Muhongo na wengine.Ebu wataje waliotumbuliwa, haswa wanasiasa.
Kitwaga alitumbuliwa kwa ufisadi? Siyo alifukuzwa kwa ulevi? Muhongo alifanya ufisadi gani ambao naibu wake Kalemani akapona? Wengine kina nani?Kitwanga,Muhongo na wengine.
Mtumishi wa umma anapotolewa kwenye utumishi wa umma kwenda kutumikia chama anastaafu utumishi wake wa umma au anaacha kazi kwa "Resignation"?
CCM hamuitendee Tanzania haki mnapowatotoa watu kwenye utumishi wa umma na kuwaingiza kwenye shughuli za siasa ambazo hawakuwahi kuzitaka