Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Tukiwa tunaendelea na kikao, tayari jina la Dr. Bashiru Ally limepitishwa na kuwa mrithi wa Kinana kuanzia leo.
Dr. Bashiru ni Mwalimu Mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pia ndiyo alikuwa Mwenyekiti wa Tume maalum ya kuchunguza mali za CCM iliyoundwa na Rais Magufuli.
Dkt. Bashiru kama wengi tunavyomfahamu ni Mzalendo, Mjamaa na Mnyerere.
Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza mali za CCM Dkt Bashiru Ally akipongezwa baada ya kuteuliwa kwa kauli moja na NEC kuwa Katibu Mkuu mpya wa Chama hicho ukumbi wa Kikwete jijini Dar leo
=====
Dr. Bashiru ni Mwalimu Mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pia ndiyo alikuwa Mwenyekiti wa Tume maalum ya kuchunguza mali za CCM iliyoundwa na Rais Magufuli.
Dkt. Bashiru kama wengi tunavyomfahamu ni Mzalendo, Mjamaa na Mnyerere.
=====