Kutoka Moyon!

Hujawah kupenda wewe teh! Moyo huuma, though huelewi haya bt ukwel ni kwamba moyo huuma! Ubongo unanafasi yake katika mapenz the same as moyo!
 
Huo ni msemo wa duniani kote,kuubadilisha na kusema kutoka kwenye ubongo,huwezi kueleweka sana utaonekana muongo tu.
 
Huo ni msemo wa duniani kote,kuubadilisha na kusema kutoka kwenye ubongo,huwezi kueleweka sana utaonekana muongo tu.
<br />
<br />
thats why nataka tujadili tuone kama kuna uhalisia wa kile tunachokisema.
 
Ubongo unahusika katika kila tendo la mwili. Wenyewe ni 'overall incharge' wa kazi na feelings zote mwilini. Hata ukijikwaa kidole cha mguu kikauma ni ubongo unaokuwezesha kuhisi maumivu. Lakini huwezi kusema ubongo unauma badala ya 'kidole kinauma'. Kwa hiyo tukihesabia kila tendo la mwili kuwa ni ubongo unaofanya hatutataja kamwe viungo vingine vya mwili. Hivyo basi, feelings za kupenda zinawezeshwa na ubongo lakini unazihisi moyoni. So, ni haki na sahihi kabisa kumwanbia wako, 'nakupenda kutoka ndani kabisa ya moyo wangu'.Because its in your heart were you find feelings of love not brain.
 
Nadhan ni mazoea tu. Labda huwa wanasema moyoni wakimaanisha rohoni! Rohoni ni sahihi zaidi kuliko moyoni. Na naamini kusema unapenda kutoka ubongoni ni makosa sana! It is neither make sound nor make sense!
 
Nadhan ni mazoea tu. Labda huwa wanasema moyoni wakimaanisha rohoni! Rohoni ni sahihi zaidi kuliko moyoni. Na naamini kusema unapenda kutoka ubongoni ni makosa sana! It is neither make sound nor make sense!
<br />
<br />
Surely!
 
Utakuta mpenz wako anakuambia &amp;quot;nakupenda kutoka moyon&amp;quot; au &amp;quot;moyo unaniuma sana&amp;quot;&lt;br /&gt;<br />
je moyo una hisia, si kwamba kila kitu kinafanyika kwenye ubongo?.&lt;br /&gt;<br />
Tubadilike tuseme &amp;quot;kutoka kwenye ubongo&amp;quot;.&lt;br /&gt;<br />
Ahsanteni.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kila kiungo na kazi yake, central control ni ubongo. Mguu ukitembea, utakaopewa sifa ni mguu na si ubongo kwa kuuambia mguu 'tembea'. <br />
In short, 'mwache Mungu aitwe Mungu'.
 
unao uma ni moyo wa sio ubongo. kazi yake ni kucontrol to matendo ya mwili lakini kinacho uma sana ni moyo unaosukuma damu na kwenda kwenye sehemu za fahamu maana mapingo huonegeka ndio maana tunasema " na kupenda kutoka moyoni"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom