<br />Nadhan ni mazoea tu. Labda huwa wanasema moyoni wakimaanisha rohoni! Rohoni ni sahihi zaidi kuliko moyoni. Na naamini kusema unapenda kutoka ubongoni ni makosa sana! It is neither make sound nor make sense!
<br /><br />Utakuta mpenz wako anakuambia &quot;nakupenda kutoka moyon&quot; au &quot;moyo unaniuma sana&quot;<br /><br />
je moyo una hisia, si kwamba kila kitu kinafanyika kwenye ubongo?.<br /><br />
Tubadilike tuseme &quot;kutoka kwenye ubongo&quot;.<br /><br />
Ahsanteni.