tatizo wagalatia mnaaminishana upumbavu alafu mnasema ni uislam, hivi ni nani aliyewaroga?Mimi Nadhani Mtume Mudi Walimuelewa Vibaya.Kuna Haja Ya Kumuomba Arudi Ili Hayafafanue Haya Mambo Vizuri.Hii Sio Dini Hili Ni Deni.Mtume Anawajibika Kwa Haya!
Mimi Nadhani Mtume Mudi Walimuelewa Vibaya.Kuna Haja Ya Kumuomba Arudi Ili Hayafafanue Haya Mambo Vizuri.Hii Sio Dini Hili Ni Deni.Mtume Anawajibika Kwa Haya!
tatizo wagalatia mnaaminishana upumbavu alafu mnasema ni uislam, hivi ni nani aliyewaroga?
tatizo wagalatia mnaaminishana upumbavu alafu mnasema ni uislam, hivi ni nani aliyewaroga?
Je tunaweza kuwa na mjadala huru bila kuingiza kashfa, kejeli na matusi katika imani zetu hizi tulizoletewa toka ng'ambo?
Wewe Husio Ujua Uislamu Vizuri Ndio Unaamini Vitendo Vya Kigaidi Havifanywi Na Waislamu Kwasababu Uislamu Haufundishi Hivo
Lakini Wenye Dini Yao Wanaamini Kua Kuua/kujiua Kwa Ajili Ya Kuisimamisha Dini Ya Allah Ndio Uislamu Wenyewe Unavyotaka.Hata Maswahaba Wa Enzi Za Mtume Mudi Walifanya Hivyo.Na Ndomana Katika Uislamu Kuna Watu Wanaitwa Mujahidin Yaani Wapigania Dini.
Uislamu Ni Mojawapo Ya Dini Ya Maajabu Ambayo Inaamini Kuua Ni Njia Mojawapo Ya Kukupeleka Peponi.Na Mungu Wao(Allah)Anafurahi Akikuona Unaua Kwa Ajili Ya Dini Yake.Na Anakupandisha Daraja.
"Allah Is A Very Strange God!"
Kiepe Yai waweza kuwa sahihi lakini kijijini nilikokulia mimi na ndugu za waislam tuliokuwa nao hawakua hivi, tuliishi kwa upendo na kuheshimiana mno kati ya wakristo na waislam na kwakweli tulikuwa na mipaka kwenye dini zetuMkuu Waislamu Ni Watu Wa Ajabu Sana.Kwa Mfano Dini Yao Inatamka Wazi Kabisa Kua "Mungu Wao Aliumba Majini Na Wanadamu Ili Wamuabudu".Na Wanaamini Kabisa Kua Kuna Majini Wema Na Wabaya
Lakini Leo Hii Wakimuona Muislamu Menzao Au Shekhe Anafuga Majini Ndani Watamwambia Ni Mshirikina.Au Mganga Wa Kienyeji Akipiga Ramli Kutumia Jini Watakwambia Hiyo Ni Shirki.Au Ukiwaambia Kua Wanasali Na Majini Misikitini Mwao Wataona Unawadhalilisha
Yani Waislamu Wengi Hawajui Wanaamini Nini.Ni Kama Mtu Anaetembea Kwenye Giza Nene Hajui Anakotoka Wala Anakoelekea."Sijui Hata Wamekula Maharagwe Ya Wapi Hawa"
hivi mshana huko ulikoishi na waislam bila matatizo wakristo wa huko walikuwa na kashfa kama za wakristo wa jf?Kiepe Yai waweza kuwa sahihi lakini kijijini nilikokulia mimi na ndugu za waislam tuliokuwa nao hawakua hivi, tuliishi kwa upendo na kuheshimiana mno kati ya wakristo na waislam na kwakweli tulikuwa na mipaka kwenye dini zetu
Ya waislam yalibaki kuwa ya waislam na ya wakristo yalibaki kuwa ya wakristo, na pale ilipotokea kuwa kuna haja ya kualikana na kushirikiana tulifanya hivyo bila shuruti wala unafiki na kwa uelewano hasa
Hii mambo ya kubaguana na kuitana makafiri, wagalatia, magaidi, kuua kwa jina la dini, ni vitu vipya kwetu na kwa hakika vina lengo maalum lakini baya kabisa kwa Tanzania ijayo
nimekuelewa,nguvu JF kuna wapumbavu wengi sana kwa imani zote mbili wakristo na waislam
kwani wewe ulipoweka picha ya namna hii ulitegemea nini?je tunaweza kuwa na mjadala huru bila kuingiza kashfa, kejeli na matusi katika imani zetu hizi tulizoletewa toka ng'ambo?