OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,778
Hata DED wa bastola atafutia kesi,sijui Magu atamrejesha!
Kesi kashinda scop walioshikilia kesi sasa hvi ni wale walio toa yale ma milion kwa said hawana pa kuficha sura zao!!Hiyo ni jinai na Mtobolewaji hapo anasimama kama shaidi tu wa serikali. How comes shahidi afute kesi???
Umeshinda shekhe wangu tuma salam kwa mtu mmoja!umekosea kukosoa,kiingereza unachozungumzia nakifahamu,nilitaka uhakika wa mada husika na nikaupata.
kesi za mauaji huwa ni za jinai, jamhuri ndio mlalamikaji, hii ni lazima said ahusike.Kwani kesi za mauaji maiti huulizwa ili kuwatambua waliowaua??
True, kuna zaidi ya ukweli kuliko huu tunaoaminishwa.Mahakama ndio chombo cha kutoa haki! Sasa kama upande wa mashitaka (Jamuhuri) wameamua kufuta shitaka ndio ujue kuwa tulipotoshwa na tunapotoshwa vitu vingi kwenye media na mitandao ya kijamii..
angechomwa na visu si angetembea?lazima ushahidi uoneshe pasina shaka kuwa aliburuzwa,na pia aliburuzwa ili agongwe gari afe ndo iwe attempted murder.
Ila kama kweli alimchoma visu vya tumbo,yes inaqualify kuwa attempted murder
Yaaah hiki kitu nimekisia jana ndomaana ata mimi nilikuwa sitaki kuamini jamaa amtoboe macho mshkaji kwa nia ya kumuibia tu.kuna tetesi kuwa scorpion ni mtetezi wa watu buguruni dhidi ya vibaka ndio maana hata polysi walimuacha afanye kazi yake
inasemekana side ni mfadili wa makundi ya vibaka.....
Shitaka la scorpion limefutwa,baada ya upande wa mashtaka kufuta kesi
Makonda ndio naniii? ?? ️️️️️️️️️️Kwani ni wanaume wa mkoani 'walioshadadia' au kiongozi wa wanaume wa dar (Makonda)?
Wewe unaweza kuisadia mahakama bwana scorpion akarudi uraiani kuendelea na kazi ya kuisaidia jamii.Inaelekea wanaume wa mkoani hawamjui scorpion. Halafu sisi watu wa Buguruni tunamjua huyo Saidi na shughuli zake, na pia tunajua shighuli za Scorpion ndio maana watu hata hawakuhangaika nao.
Watu waliwaacha wamalize mambo yao.
Tunaangalia tu watu wanavyo shadadia mambo wasiyoyajua kwa undani wakipiga kelele dunia nzima ikiwa ni pamoja na mkuu wa kaya ya Jiji.
Scorpion ni mtu aliyeamua kujichukulia sheria mkononi kwa kuwa uwezo huo anao.
Kwa maana ya uwezo wa kupambana na mtu yoyote ambae ni mtukutu. Anapiga kareti kama za kwenye kideo na physic yake sio ya wanaume hata 2 wa kawaida. He is a man na nyongeza.
Kwa kifupi ni kwamba Buguruni kuna watu watanashati na wanashughuli zao za maana lakini wanamiliki mitandao ya vibaka ambao hupora na kuwaletea mizigo wanayopora.
Na hiyo ndio wanapopatia hela zao nyingi.
Hujawahi kujiuliza Tv, radio, vipochi, simu na vitu vingine kama hivyo vikiibiwa huwa vinaenda wapi?
Wale waibaji huenda na kumkabidhi mtu halafu wanapewa hela flani ndogo(ya kula).
Yeye huvitakatisha vile vitu kwa kuviuza kupitia legitimate channels kwa yeye hubaki kuwa mtu legit.
Scorpion alikua ametangaza kiama kwa vibaka pale Buguruni. Na alikua anawashughulikia kweli. Hivyo he was posing a danger kwenye biashara za watu.
Wakati vibaka wakindelea kushughulikiwa na hali ikionekana imeanza kuwa swari, yani vibaki waliosalia wanahamia kambi nyingine kama vingunguti, gomz etc.
Ndugu wa kike wa mpiga kareti (rafiki wa scorpion) akaporwa pochi iliyokua na simu maeneo ya Buguruni sheli.
Scorpion akaamua kumsaka muhusika na hakufanikiwa kumtambua. Akaamua kutuma ujumbe kwa mkuu wao ambae ndie mhanga wa macho, kuwa anataka arejeshewe mali iliyoporwa.
Kama kawaida ya wapanga misheni mkuu akapiga kimya.
So Scorpion akaamua kudeal nae, the boss himself ndio akamfuata alipomkuta and the rest of the story baada ya kumfuata face to face mtakua mmeipata kwenye media.
Sasa nyie mpeni mamilioni na assets bosi wa wahalifu kisa mnamhurumia wakati hamumjui.
Ndio maana watu hawakutaka kuingilia kesi wakati jamaa anasurubiwa. Sie wa buguruni tunaelewa.
Mtu hakurupuki tu kumtoboa toboa mtu asiyemjua.
Nawe pia umemaliza yote kana kwamba jamaa keshatolewa ila kuna mtu nimemsoma vema sana kwenye hili lililoanza kutokea nanukuunliweka uzi nkazungumzia namna gani huyu jamaa anaeza kuwa hana hatia il kuna raia wanaongozwa na media na mihemuko yao binafsi wakanitukana...haya sasa imeanza kuthibitika maana msishangae jamaa kuskia kafutiwa mashtaka yote
na akilud uraiani mheshimiwa ajiandae kwa maneno yake ya kukulupuka maana jamaa anaeza akahtaji fidia ya kuchafuliwa jina lake na magazet pia yajiandae tuu!!!
Childish!Ungejua who you talking to wala usinge ji compare woman!!!! I bet ur sooo ugly that's why u find scorpion attractive! What's soo Attractive about this cold blooded killer?
Amesema anahama Tanzanzania sijui ni mtaa gani huo!Weka akiba ya maneno mkuu.
mama kama huna la kuandika pita kimya kama sisi wengine,usituharibie moodUngejua who you talking to wala usinge ji compare woman!!!! I bet ur sooo ugly that's why u find scorpion attractive! What's soo Attractive about this cold blooded killer?
Hata mimi nimeangalia hili swala kwa jicho ka tofauti kidogo, kama ni kweli aliyetolewa macho alikuwa agent watu wakiibiwa anapelekewa kwa ajili ya kuuza, maana yake police wa hilo eneo wanamjua na wanamlinda ndiyo maana wananchi wakishtaki police hawafanyu chochote, hata siku ya tukio hawakutoa msaada kwa kuwa waliona ndicho anachostahiliHuyu scopion ndiyo anaepambana na vikundi vya wahuni, vibaka na magenge ya wahuni
Kwa maana nyingine nayo iyona mimi scopion itakuwa aligusa penye maslai ya watu flani!