Kutoka kwa edo kumwembe

Kutoka kwa edo kumwembe

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
13,280
Reaction score
31,866
Ninachojivunia kwa kuwa Mtanzania.
Ni ile tabia yetu ya kuwa na Munkari wa hali ya juu mwanzoni wa tukio lakini mwisho wake wala hatuutilii maanani.
Huwa tunanyoosha sana midomo awali kwa umoja lakini kwenye kuujua mwisho tunapotea.
Mfano!... Samahani kwa watakaoboreka.
1. Kesi ya Lulu vs Kanumba... Aisee nani hakulijua sakata hili mwanzoni... Ila nani anajua hatma ya ile dhamana???
2. Chenge na vijisenti... Nani asiyeujua huo usemi wa mtu kula mabilioni halafu anaita vijisent. Ila nani anahoji uhalali wake bungeni hadi sasa.
3. Lowasa kujiuzuru skendo la Richmond... Hivi na ww sio mmojawao wanaopiga kelele kuwa ndiye raisi anayefaa??
4. Chidy Benz na madawa ya kulevya... Hivi kweli ikitokea harudi tena mahakamani patakuwa na kelele??
5. Hivi Mh. Mbunge Kaptain Komba.... Hivi zile picha chafu unazo hadi leo kwenye simu yako au ushafuta umeona hazina maana??

6. Sitti Mtemvu, amelivua taji... Hv unaweza kujua kesi atasomewa lini ya kudanganya umri??
7. Whaaat! Kuna Twiga walipandishwa ndege??? Iliishia wapi sasa hii.
8. Mwangosi? Mara mtu kung'olewa kucha, meno...... Ushasahau ee?
**Dah! Haya nd'o uzuri wetu...... Na sasa ni ESCROW......
 
hata hii thread hatutaujua mwisho wake,wengi wetu ni vifata upepo tu mwezi ujaisha tushasahau kabisa hatma ya ndege ya rais wa china kubeba ...Ona nishasahau hata ilibeba nini kama mlivyosahau hatma ya maisha bora japo mlitegemea mwisho usingekuwa hivi
 
Escrow yenyewe inaanza kusahaulika na hao ndio sisi tunapiga kelele baada ya wiki au wiki mbili tunaendelea yetu
 
Na vp ishu ya bw mdogo diamond kupanda ulingoni......ooooohh sorry, kupanda stejini na gwanda za jeshi hapa juzi kati tu ilikuwa hot kinoma lakin sasa hivi hata hatujui inaendeleaje.......
 
Anamaanisha kuwa tuna vichwa vya kuku ??
 
daaah nilicho taka kuandika kime nitoka ila ilikua kuhusu Alli Kiba na Diamond....samahani lakini.
 
Kutokana na kushinda mechi mfululizo baada ya WC, Brazil nao wamesahau kuwa walifungwa goli 7 nyumbani kwao.
 
Daah nmesahau cjui nlitaka kusema nini..!!
 
hivi vile viungo vya binadam walivyotupa IMTU waliendaga kuvichukua?
 
Ufoo Saro alivyom-miminia risasi yule bwana wake watu washasahau
 
Tatizo siyo kusahau. Tatizo ni UCHAGUZI ukifika, unaona hii mijitu ya akili za samaki ikiwa inashangilia.

Kama huku SIKONGE, sijui tumelishwa Limbwata la Mwenge?

fish_head01.JPG
 
Anamaanisha kuwa tuna vichwa vya kuku ??

Tatizo kuna baadhi ya watu hupenda kujiweka kwenye ubishi tu, hata kwa mambo yenye tija kwa Taifa letu, hii huchangia sana wengine kuvunjika moyo. Nchi hii ni shida sana.
Ova
 
Ninachojivunia kwa kuwa Mtanzania.
Ni ile tabia yetu ya kuwa na Munkari wa hali ya juu mwanzoni wa tukio lakini mwisho wake wala hatuutilii maanani.
Huwa tunanyoosha sana midomo awali kwa umoja lakini kwenye kuujua mwisho tunapotea.
Mfano!... Samahani kwa watakaoboreka.
1. Kesi ya Lulu vs Kanumba... Aisee nani hakulijua sakata hili mwanzoni... Ila nani anajua hatma ya ile dhamana???
2. Chenge na vijisenti... Nani asiyeujua huo usemi wa mtu kula mabilioni halafu anaita vijisent. Ila nani anahoji uhalali wake bungeni hadi sasa.
3. Lowasa kujiuzuru skendo la Richmond... Hivi na ww sio mmojawao wanaopiga kelele kuwa ndiye raisi anayefaa??
4. Chidy Benz na madawa ya kulevya... Hivi kweli ikitokea harudi tena mahakamani patakuwa na kelele??
5. Hivi Mh. Mbunge Kaptain Komba.... Hivi zile picha chafu unazo hadi leo kwenye simu yako au ushafuta umeona hazina maana??

6. Sitti Mtemvu, amelivua taji... Hv unaweza kujua kesi atasomewa lini ya kudanganya umri??
7. Whaaat! Kuna Twiga walipandishwa ndege??? Iliishia wapi sasa hii.
8. Mwangosi? Mara mtu kung'olewa kucha, meno...... Ushasahau ee?
**Dah! Haya nd'o uzuri wetu...... Na sasa ni ESCROW......

#Lowasa yeye bado tunaye! #MWIZI_MKUBWA_HUYU .

Nashangaa unapotusingizia kuwa tunapiga kelele ati atakuwa rais. Fool with him. afie mbali kabisa.
 
Ndio maaana mkulu huwa anasema "NI UPEPO TU UTAPITA" unadhani huwa hamaanishi????
 
Duh! gonjwa la Dengue jamani? hivi chanzo chake nini? Nshasahau,
Siku hizi alipo hili gonjwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom