Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,394
Mkubwa ni yule mwenye uwezo wa kumuagiza mwingine afanye na bila kujali lolote anafanya. Nani ,kati ya waziri na KM wa CCM anaweza kumuigiza mwenzake?
Sasa hivi haijalishi cheo ulicho kiprotocal, bali anayejipendekeza zaidi kwa Magufuli ndio mwenye nguvu.