Mirrisson balama
Member
- Mar 10, 2020
- 5
- 0
kutoka kuwa na mastraika hatari kama kina tambwe na ngoma ambapo kabla yakusajiliwa walikuwa wanajulikana team walizokuwepo na walisajiliwa wakiwa hatari
mpaka kwa kina molinga na yikpe ambao tunaambiwa wametoka team fulani ambayo walicheza misimu miwili au mmoja uliopita
mpaka kwa kina molinga na yikpe ambao tunaambiwa wametoka team fulani ambayo walicheza misimu miwili au mmoja uliopita