Kutoka Kigoma kaskazini

hoja dhaifu kama hizi zinadhihirisha jinsi cdm ilivyo filisika. Bado sana kuwa na upinzani imara tanzania.

Maumivu yote haya unayopata ya nini mkuu wakati kuna chama cha kukusanya takataka si uende huko?
 
Nyie vibaraka wa ccm mpokeeni huyo zito na mhakikishe mnampatia UWENYEKITI ndani ya chama chenu cha wezi wa rasilimali zetu. Cdm ni bora kuliko ZZK

Hajfukuzwa uanachama ameng'olewa nyadhifa alizokuwa nazo ndani ya chama! Kwa maana hiyo anayo nafasi ya kuendelea kuijenga CHADEMA kama anaona anayo sababu ya kufanya hivyo!
 

ndimi mbili mbona hata wewe unazo
 
Zitto Zubeir Kabwe atabaki kuwa shujaa wa wana Kigoma Kaskazini.
Ataunganisha nguvu za Machali. Kafulila. Mkosamali kigoma itasimama kidete.
All the best Zzk
 
Ni aibu kwa Zitto anayejipambanua kuwa mzalendo jimbo lina diwani moja wa chadema.

Zitto ni nyoka ....... Nenda kwa mafisadi wenzako. Kigoma kuna shida ya maji chakula na huduma za afya, lakini Zitto anatembea na Hammer

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ni virahisi kwa CDM kuchukua majimbo ya Ukonga, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kawe! Ila siyo Mwandiga kwa Zitto.
 
Last edited by a moderator:
ZZK yuko vizuri upstairs lakini bado anapungukiwa uwezo wa kuhimili siasa za jimboni kwake na chama chake.2010 alishinda kwa shida sana dhidi ya Robinson Lembo wa CCM,mnaosema ana uhakika wa kushinda jimboni cjui kigezo chenu ni nini!!
 

MNAMA wa Kigoma.
 

Bwana wako Lema ameifanyia nini Arusha? acha kutumika na kufuata mkumbo.
 

umalaya kitu kibaya sana.....
 
Zambi ya unafiki ni zambi inayoumiza sana najua unajutia maamuzi yako ya kuwa mnafiki pole sana kwa unafiki ila matokeo ya unafiki ndo haya nenda lumumba wakakupe kazi kwa sababu walikutumia awatakuwa na imani na wewe pole ndo mwisho wako wa kisiasa zzk
 
Ni virahisi kwa CDM kuchukua majimbo ya Ukonga, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kawe! Ila siyo Mwandiga kwa Zitto.

wewe ni kalio tena la kushoto hata mramba alisema hivyo hivyo.......
 
Last edited by a moderator:
Makundi ndani ya CDM at work, umetumwa kufanya kazi ya kummaliza zito na si watu wa Kg. na nadhani huwajui vizuri watu wa KG. kwa upuuzi wenu huu hata wanamziki watawaimba sana watu wa kaskazini kwa ukabila na ukanda wenu.
 
Mleta mada uloyasema ni ukweli mtupu binafsi nafanyia kazi eneo lake huyu bwana muheshimiwa mbunge wa kitaifa hakubaliki kabisa jimboni kwake kwa kipindi sana kwani alichowaahidi wananchi wake hajatekeleza hata
 

Mkuu Mungi hapo umeteleza. Ni kweli Zito ana diwani, na kweli anatembelea Hammer. Lakini Kigoma hakuna shida ya maji wala chakula. Ni mkoa uliojaliwa maji na hakuna anayekufa kwa njaa kama mikoa yenu. Na hata wengekuwepo madiwani wengi wa chadema isingebadilisha kitu. Zito kutembelea hammer hayo ni maisha yake, na wapo wengi zaidi yake na majimbo yao yako hoi. Kama mna tatizo naye mshughulike naye kama yeye
 
Ni virahisi kwa CDM kuchukua majimbo ya Ukonga, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kawe! Ila siyo Mwandiga kwa Zitto.
Wewe Nyakageni usidanganye watu huyu jamaa hakubaliki kwa sasa hata nukta moja Kigoma Kaskazini usiaminishe watu maneno ya uongo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…