KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 231
- Thread starter
- #21
Leo kuna mkutano sehemu moja inatwa nguvumali-kata ya ndago,utafanywa na Nchemba,kiukweli simkubali huyu bwana hata kidogo,hata jimboni kwasasa hakubaliki ila nani toka nguvu ya umma atakayekuwa mbadala,TAFADHALI CC CDM,Mrudishieni uanachama Dr.,hatupendeki hata kidogo ahamie CCM,huko atalishwa unga wa ndere na Bi. Kirembwe.