Namuona former rastafarian hapo!!View attachment 605290 Kama vile ambavyo MAKAMANDA wakiiona hii wanavyopita kama hawaoni huku WAMEWEKA TINTED
Asante mkuu, namie nakula mubasharaNakula kitu cha live kutoka website ya serikari
Hii ndio shida ya kutoa matamko bila utaratibuView attachment 605290 Kama vile ambavyo MAKAMANDA wakiiona hii wanavyopita kama hawaoni huku WAMEWEKA TINTED
Nakula kitu cha live kutoka website ya serikari
Wee tulia tu mkuu, hii thread baadaye itamezwa na thread nyingine itakayoanzishwa kuhusu bomu alilolipua mukulu kama yale anayolipuaga kila anapoongea! Itabidi watu wote tuhamie kwenye hiyo thread hivyo hii itakufa kifo cha mende!Leo tutegemee kijambo kingine kutoka kwa mkulu.
Mbona unazunguka sana si useme tu ana mimba.Jamani Kairuki anaapa,ebu mchekini vizuri!
Any changes!?
Mnaona chochote?
Kwani mimba sio kitu cha maana.Bawacha hiki ndio umekiona cha maana?