kanali gadafi
Senior Member
- May 5, 2017
- 139
- 146
Ambayo ndiyo iliyoyaharibuKingunge anatibiwa katika mazingira yaliyoboreshwa na serikali ya CCM
Halafu huyo Jakaya akamdhihaki kuwa ni wakuja tu!! Nilishaapa urafiki na mswahili ni kinyaa utampa tonge hapa akishiba akanya anaanza matusi!!!
Mswahili!!Hapo kwenye Mswahili futa weka mwanasiasa!
Rais wa sasa wa Angola kamchenjia Rais Dosantos japokuwa ndio walimpa Urais
Rais wa Zamani wa Zambia Fredrick Chiluba alichenjiwa na aliempa Urais Hayati Levy Mwanasiasa!
Bingu wa Mutharika nae alimchenjia Bakili Muluzi!
akina Mzee Kingunge baada ya kumsaidia Jakaya kuwa Rais walisahau kuwa Rais ni Rais wao waliendelea kumchukulia kama Mshakji tu Mwanamtandao mwenzao!
Hata Jakaya pamoja na kumsaidia Magufuli kama 'Kijana' wake sasa hivi anamheshimu kama Rais kamili!
Sera za CCMSio kodi zetu?