Halafu wanajidai oh serikali haijafanya kitu.Kingunge anatibiwa katika mazingira yaliyoboreshwa na serikali ya CCM
This makes sense. Unaenda kumsalimia mgonjwa hospitali kwa roho nyeupe na Mungu anakuona na kusikiliza sala yako. Mgonjwa naye anafurahi kukuona, anashukuru, anakuombea kwa Mungu ili sala zako za kumwombea mgonjwa wako zisikilizwe apone. Tofauti na mgonjwa mwingine anakutukana kila siku, anaitukana nchi yako anaomba Mungu isusiwe, analalama mbona Spika haji kuniona, mbona Naibu Spika hanitembelei harakaharaka, mbona polisi hawaji kuniona, mbona Rais hajanipa pole? Hapo kuna Mungu kweli? Pole Nzee Kingunge.Rais Dkt. John Magufuli amemjulia hali Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam
> Mzee Kingunge anatibiwa majeraha baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake
hahaha just hahaha akili nyingine hizi Ni za kuvukia daraja la Manzese ili usigongwe, ukute mtu kama wewe kuna watu wanakutegemea atiThis makes sense. Unaenda kumsalimia mgonjwa hospitali kwa roho nyeupe na Mungu anakuona na kusikiliza sala yako. Mgonjwa naye anafurahi kukuona, anashukuru, anakuombea kwa Mungu ili sala zako za kumwombea mgonjwa wako zisikilizwe apone. Tofauti na mgonjwa mwingine anakutukana kila siku, anaitukana nchi yako anaomba Mungu isusiwe, analalama mbona Spika haji kuniona, mbona Naibu Spika hanitembelei harakaharaka, mbona polisi hawaji kuniona, mbona Rais hajanipa pole? Hapo kuna Mungu kweli? Pole Nzee Kingunge.
Yeye ni mwasisi wa CCM. Anakula matunda ya kazi yake. Mnapaswa kumshukuru mzee Mwiru kwa kuwajengea Muhimbili.Kingunge anatibiwa katika mazingira yaliyoboreshwa na serikali ya CCM
Umemaliza mkuu.This makes sense. Unaenda kumsalimia mgonjwa hospitali kwa roho nyeupe na Mungu anakuona na kusikiliza sala yako. Mgonjwa naye anafurahi kukuona, anashukuru, anakuombea kwa Mungu ili sala zako za kumwombea mgonjwa wako zisikilizwe apone. Tofauti na mgonjwa mwingine anakutukana kila siku, anaitukana nchi yako anaomba Mungu isusiwe, analalama mbona Spika haji kuniona, mbona Naibu Spika hanitembelei harakaharaka, mbona polisi hawaji kuniona, mbona Rais hajanipa pole? Hapo kuna Mungu kweli? Pole Nzee Kingunge.