Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Mgombea urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania mh. Edward Lowassa leo ataendelea na kampeni zake za kusaka kura za kumpeleka Magogoni.
Leo atakuwa katika majimbo ya mpwampwa na kibakwe kesho.
Ni mkutano unaotarajiwa kuweka historia ya mafuriko katika viwanja vya barafu katikati kabisa ya mji huu wa Dodoma.
Nitakuwa nanyi kuwaletea kitakachokuwa kinajiri kila hatua.
Karibuni.
WanaJF niwaombe radhi kwa kushindwa kuwapa updates za jana katka majimbo ya kibakwe na mpwampwa hii ilitokea baada ya usafiri tuliokuwa tukisafiria kutoka dodoma kwenda mpwampwa kupata ajali hivyo kushindwa kuendelea na safari kutokana na baadhi yetu kwa majeraha tuliyopata
Samahanini kwa usumbufu uliojitokeza
========================
Leo atakuwa katika majimbo ya mpwampwa na kibakwe kesho.
Ni mkutano unaotarajiwa kuweka historia ya mafuriko katika viwanja vya barafu katikati kabisa ya mji huu wa Dodoma.
Nitakuwa nanyi kuwaletea kitakachokuwa kinajiri kila hatua.
Karibuni.
WanaJF niwaombe radhi kwa kushindwa kuwapa updates za jana katka majimbo ya kibakwe na mpwampwa hii ilitokea baada ya usafiri tuliokuwa tukisafiria kutoka dodoma kwenda mpwampwa kupata ajali hivyo kushindwa kuendelea na safari kutokana na baadhi yetu kwa majeraha tuliyopata
Samahanini kwa usumbufu uliojitokeza
========================
September 10th 2015
Toka tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni Ukawa bado wameendelea kusogea sehem mbali mbali za kuwafikia wananchi na leo Sept 10 Mkoani Dodoma katika wilaya ya Kongwa mji mdogo Kibaigwa katika uwanja wa Amani wamefanya mkutano na Edward Ngoyai Lowassa.
Ni wajibu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hapa nimekuwekea picha za mkutano mtu wangu.
Wakazi wa Kibaigwa wakiwa karibu na usafiri wa mgombea uraisi 2015
Frederick Sumaye akizungumza na wakazi wa Kibaigwa
Wengine walifanya maamuzi ya kukaa chini
Hili ndio gari lililokuwa likitumika kama jukwaa
Wamama nao hawakuwa mbali na eneo la mkutano
Hawa ndio wagombea kwa nafasi ya udiwani wakitambulishwa na mgombea urais Edward Lowassa
Edward Lowassa akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Kongwa Essau Ngobei
source: Malunde/24hrs BLOGs