Kutoka Diamond Jubliee Dsm: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC

Mpaka anatia huruma JK kachanganyikiwa kabisa .du kweli Lowassa ilikuwa Engene ya CCM
 
Ingekuwa Lowassa ningesogea kwenye tv yangu lakini huyu mkwere sipotezi muda wangu
 
watanzania tukiirudisha tena ccm madarakani tutakuwa tumelaaniwa... jk kasema maghufuli kila kitu anaomba ccm duh. hapa hatuna rais kamwe...
 
Mheshimiwa Rais atoe hoja, aache kuendelea kugawa watu wa nchi hii katika makundi na kutoa tuhuma zisizo na ushahidi. Hao wanywa viroba ni wananchi wa nchi gani? Anawalinganishaje na wabwia unga anaojitapa kila siku kuwasaidia waachane na unga? Ama kweli tunahitaji kiongozi - atakayekuwa mfano kwetu. Sio anayetuongoza katika kutoa tuhuma dhidi ya raia wengine pasi na ushahidi wala mashtaka.
Acha ujinga Lowasa ni fisadi na mwizi lazima aambiwe ukweli mwizi mkubwa kabisa yule.
 
😂😂😂😂 very confused JK....namuonea hurumaaaa...ndio anazidi mharibia Magufuliii kabisaaaaa... sbb watu hawataki kumsikia.., sasa atamharibia magufuli kila kitu...!!
 
Kikwete anadai kuwa Chadema wamepiga picha wakaziungaunga. Anadai kuwa CCM ndiyo wanaotoa picha halisi
 
Watanzania tulikosea sana kikwete hakufaa kuwa rais anamapungufu makubwa sana kiongozi wa nchi kutamka maneno kama mvuta bangi ccm kushi ney
 
Viroba ameviruhusu mwenyewe ili Taifa liangamie. Rais gani huyo ambaye anashindwa kuongoza watu wake? Hili Taifa limejiongoza lenyewe tu hatuna kiongozi. Sasa umefika wakati wa kumweka kiongozi.
 
watanzania tukiirudisha tena ccm madarakani tutakuwa tumelaaniwa... jk kasema maghufuli kila kitu anaomba ccm duh. hapa hatuna rais kamwe...
Umelaaniwa wewe na mafisadi yako magufuli kwa sasa hapaswi kusema watanzania atawafanyia nini kwasababu kampeni hazijaanza unataka aseme nini wakati kampeni hazijaanza kiazi kweli wewe.
 
Back
Top Bottom