The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
yupo live Azam tv sasa
Nawatazama ''Azam media " baada ya miaka mitatu watakuwa ni media house bora na ya kisasa na inayotazamwa na watu wengi sanaaa duniani, wako live kila tukio !
Thump up !
yupo live Azam tv sasa
Tulieni nyie magamba prof.Lipumba yuko ndani ya CUF na yuko imara zaidi ndani ya UKAWA. anajipanga kwenda kuisambaratisha ccm ndani ya jimbo moja hapa Dar.
timu lumumba wameongezewa dau kutoka buku 7 hadi 15 per day.
so tegemeeni:-
1.uzushi
2.udaku
3.porojo
4.uzandiki
5.propaganda.na
6.uongo wa hali ya juu.
yaan team lumumba hawalali wao kaz yao ni kupka maovu tu
Dr Slaa mlisema hivohivo teh teh
Baada ya kutimia kwa kile nilichokisema kwa Dk. Slaa wiki iliyopita, leo tena naomba niseme. Dk. Lipumba ameshaagana na CUF. Hao wazee wanachofanya ni kujaribu kumshawishi abaki, lakini tayari Lipumba keshajitoa kwenye chama hicho. Wapo watakaotukana au hata kunibeza, lakini nasimama kwenye ukweli. Mchana mwema.
Lipumba kujiuzulu + Slaa ku step down kimizengwe
UKAWA mmewaangusha wa tz, mtakua hamko tayari kushika dola mana mnachezea shilingi chooni.
Tulieni nyie magamba prof.Lipumba yuko ndani ya CUF na yuko imara zaidi ndani ya UKAWA. anajipanga kwenda kuisambaratisha ccm ndani ya jimbo moja hapa Dar.
Kaisha nunuliwa huyo
Mwenye chama ni Maalim Seif. Kama ameshabariki ile kazi iliyoonekana jana, sidhani kama Profesa anaweza kuwa na athari hata kama atajitoa CUF na Ukawa.
Mwenye chama ni Maalim Seif. Kama ameshabariki ile kazi iliyoonekana jana, sidhani kama Profesa anaweza kuwa na athari hata kama atajitoa CUF na Ukawa.
Mkuu kama upo kwenye hiyo press conference tupe updates yanayojiri.
JF be the first to know.