Kutoka Chuo Cha Private kwenda Cha Serikali

Kutoka Chuo Cha Private kwenda Cha Serikali

Adjutis Junior

Senior Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
118
Reaction score
23
Habari Wana JF
Nilkuwa naomba kujua na kufahamu mtu yoyote amabe anajua process za kuweza kuahamia chuo cha serikali kutok chuo cha private
Je inakuaje na nini uwe navyo hadi kuamia cha serikali

Nashukuru
Ahsanteeni
 
Inawezekana ikiwa tu kuna nafasi Latina chuo cha serikali unachotaka kuhamia..... it's easy cause inabidi uwasiliane na vyuo husika then everything will be alright
 
Back
Top Bottom