Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Madereva wa Magari ya abiria Bukoba wameanza mgomo leo kupinga unyanyaswaji na ushuru holela wanaotozwa kuingia na kutoka stand. Mpaka sasa, hakuna gari lolote lililoingia stand kupakia au kupakua abiria. Abiria wameduawaa! Kama unapanga safari kutokea Bukoba leo unashauriwa kuwasiliana na wakala wako wa usafiri.
Habari hii ni kwa mujibu wa Waandishi Tuliopo stand. Kwa taarifa zaidi mwaweza kuwasiliana na Kiongozi wa Madereva Bw. Mutafungwa 0786-818-176
Habari hii ni kwa mujibu wa Waandishi Tuliopo stand. Kwa taarifa zaidi mwaweza kuwasiliana na Kiongozi wa Madereva Bw. Mutafungwa 0786-818-176