sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Lowassa kura yangu unayo.
Wanaokubeza akili zao sio timamu hata kidogo.
Samahani wewe na wengine kama ntawakwaza, ila mzee HAJARUDISHA KADI ya CCM. Nna wasiwasi.
Lowassa kura yangu unayo.
Wanaokubeza akili zao sio timamu hata kidogo.
Nshasema nimeshaliona jina sihangaiki
Kura hazitatosha Magufuli
Aaah ccm mwaka huu mtajuta kumfahamu Lowassa. Thanks to my God for this wonderfull day you have changed the politics in Tz. kuna wajinga walidhani wana hati miliki ya nchi hii.
Tulijua tuu Ccm itafia mikononi mwa Kikwete na hilo limetimia
Ni vema Dr Slaa akatoa tamko.... pengine itasaidia kufanya mashabiki wake kuelewa msimamo wake binafsi juu ya hili.....
Ambaye mnamgwaya?
Lowassa kura yangu unayo.
Wanaokubeza akili zao sio timamu hata kidogo.
Tayari umeshasema basi nenda kalale!
ALISHAKATWA mbinguni na duniani!
Kilicho nistua ni majibu ya hasira! Shut up! Huyu ni wazi anahasira na visasi lazima aje kulipizaitokeapo akashinda - mungu aepushie mbali
Mbinguni ulifika lini kushuhudia huo mkato?
Siasa mchezo wa kihuni, sisi tumebadili gia juu kwa juu angani!Kazi ndogo sana! Huyo ndo mgombea wenu wa uchaguzi ha ha ha vipi kuhusu Dkt.Slaa aliyekipigania chama kwa muda mrefu alikua analeta mchezo eeeee? Au ndo kusemwa mmeamua kumkata rasmi?
Ni vema Dr Slaa akatoa tamko.... pengine itasaidia kufanya mashabiki wake kuelewa msimamo wake binafsi juu ya hili.....