NGWANAMWELUNGA
Member
- Jul 17, 2011
- 6
- 0
Miongoni mwa matatizo yanayowakabili wanandoa,hasa kinamama ni kutojisikia hamu ya kushiriki tendo la ndoa na wenzi wao. Naombeni mnisaidie:-
1.nini kinaweza kuwa chanzo cha tatizo hilo?
2.nini tiba ya tatizo hilo?
1.nini kinaweza kuwa chanzo cha tatizo hilo?
2.nini tiba ya tatizo hilo?