Kutogegeda kwa muda mrefu,nin madhara yake

Kutogegeda kwa muda mrefu,nin madhara yake

we endelea kumsubiri ukibaka uje kuomba ushauri jinsi ya kutoroka. na ukipiga punyeto hicho kidude kitaregea hata kikisimama hakitakuwa nanguvu.
 
Asante sana bradha,mpaka nimekutaman uwe kaka yangu ghafla kwa mawazo zaidya ngono. ila kuna mateso kidogo ya mwili. ni kama kuwa jela; kufa haufi, ila kuna kuteseka fulani hivi. mungu aliumba hicho kifaa kitumike na kutumiwa. ikiwa vinginevyo panakuwa na mateso.

ushauri wangu ni huu: fanya mazoezi au kazi lukuki zinazoifanya akili iwaze hizo kazi zaidi na kukusahaulisha habari ya papuchi. mawazo ya papuchi yanaongezeka sana ukiwa na idle time nyingi--hasa usiku. karibu Dini zote duniani zinapinga uasherati. kwa hiyo hili ninalokueleza linalenga kukulea kukubali matazamio ya jamii ya watu kuhusu njia sahihi ya kitu cha kufanya na hicho kibamia chako.

usipende sana kula nuts na vyakula vyenye protein nyingi kwa sababu vyakula hivi vinajaza haraka sana huo utete unaokusumbua. Lakini kwa kuwa mwili umetengezwa kuzalisha huo utete hata kama utakula majani tu, uwe tayari kupiga hata punyeto kupunguza mateso yako ambayo mi najua yanavyokuwa, ili huyo unayempenda aje kufurahi. wasichana wana njia nyingi sa
 
Habarini za kuamka wana JF,mateso ambyo nimeyapata ucku wa leo imenilazmu nilete uzi hapa kwa mawazo yenu,m ni kijana wa miaka......., nina promise na mdada ambaye yupo mbali kishule,mim huku nna hamu sana ya kugegeda lakn cna mchumba,inanilizmu nimsubr yeye,sasa naona mateso kwan bamia yangu huwa inasimama sana nyakat za ucku mpaka inatoa ute,je kuna madhara ya kukaa muda mrefu bila kupunguza haya mate?
Kuna faida ya kufanya sex kwa kiasi, ingawaje kufanya sex sana nako kuna madhara yake. Inashauriwa kwamba ni vizuri kufanya sex mara tatu kwa wiki, vinginevyo kufanya sex sana kuna madhara yake, ikiwemo, kwa mujibu wa tafiti mbali mbali, kupunguza kinga mwilini.

Mojawapo ya faida 12 za kufanya sex ni:
1. Kupunguza stress, kwani baada ya sex, ubongo hutoa endorphis, kichocheo ambacho huondoa stress.
2. Wakati wa ku-sex, mwili huongeza eostrogen maradufu, na hivyo kuufanya mwili wa mwanamke kuwa soft.
3. Sex kwa kiwango sahihi, huongeza life span ya mwanadamu (kwa mujibu wa utafiti wa Chuo cha Queens University, Belfast Ireland)
4. Kutoa jasho wakati wa kufanya sex husafisha vinyweleo, na hivyo kupunguza uwezekano wa kuwa na vijipu au chunusi
5. Sex husaidia kupunguza uzito. Bao moja tu mwanaume hutumia 200 kalories, ambapo ni sawa na kukimbia kwa muda wa dakika 15.
6. Sex huimarisha misuli ya mikono, miguu, kifua, tumbo na mingineyo kupitia push ups zinazopigwa wakati wa tendo hilo.
7. Jinsi unavyokuwa active kwenye sex (kumbuka kuwa kiasi) ndivyo unavyomvutia zaidi mwenza wa opposite sex. kwa jinsi unavyofanya sex, unaufanya mwili ku-release kichocheo pheromones, kemikali inayosababisha mvuto wa mwonekano kwa mwenza wa jinsia tofauti.
8. Sex ni kiponya maumivu. Mara baada ya orgasm (kilele),hormone inayoitwa oxytocin hupanda karibu mara tano ya kiwango chake cha kawaida, na hivyo kuufanya mwili kuachia endorphins kwa wingi, kemikali ambayo huondoa maumivu kwa kipindi hicho
9. Sex hulinda kibofu cha mkojo kwa njia ya kuimarisha pelvic muscles ambazo zinasidia ku-control flow ya mkojo
10. Sex huongeza mapigo ya moyo na kasi ya kupumua, hivyo kuongeza mzunguko wa damu mwilini na kuimarisha misuli ya moyo.
11 Sex inaboresha usingizi, hasa baada ya bao (mabao) ya wakati wa mchana.
12. Kuna tafiti zinaonesha kwamba sex hupunguza uwezekano wa prostate Cancer kwa sababu ejaculation nyingi inaendena na kupungua kwa kansa ya tezi dume (prostate cancer) katika umri mkubwa.

Hizo ni baadhi tu ya sababu 12 ambazo mwenzetu anazikosa kutokana na kutokufanya sex. Hata hivyo, kukosa Sex, kuna faida kubwa zaidi kwa kuzingatia kwamba, UKIMWI HAUNA TIBA.
 
mmh,wengne wananiweka njia panda mbna?
Ni juu yako kuchagua mbivu na mbichi. Kumbuka haya ni maisha yako, unatakiwa kuyapima yote unayoshauriwa na kutoa uamuzi kwa kadri unavyoona inafaa..
 
Hapo umenena Mkuu ila kwenye Punyeto - Mmh !!

Asante lumaraG. Naona kwenye punyeto unaelekea kukubaliana na nosspass ambaye naye ameonekana kutokubaliana nami. Naomba nifafanue kidogo kwanini naidhinisha punyeto kama namna sahihi ya kupunguza hamu ya uchi wa mwanamke. Nina hakika mtakubaliana nami kwamba ukiwa na afya njema manii yanajizalisha haraka sana kule chini kiasi cha kuhitaji kutoka japo mara moja kwa siku. Na kadri unavyokula vizuri ndiyo hitaji la kudischarge linavyokuwa kubwa. Kwa upande wangu wakati mwingine hata nikishinda na njaa bado discharge lazima. Sasa unafanyaje hapo kama mazingira hayaruhusu?

Wataalamu wa maumbile ya binadamu wameweka hitaji la ngono kwenye kundi pamoja na hitaji la hewa na chakula. Kuna mwanasayansi anaitwa Maslow anasema ngono ni kama chakula tu. Lakini mazingira ya kibinadamu yamefanya ngono iwe na ulazima wa kudhibitiwa sana. Tumekubaliana kama wanadamu usizini, usifanye uasherati, kubaka ni kosa la jinai; wakati mwingine hata kama ruksa ipo hii kitu imekuwa ni bidhaa inauzwa. Labda uwezo wa kuinunua unasumbua kutokana na hela kuota mbawa. Au mwenzi wako anaumwa, kasafiri au vyovyote vile mradi tu hakuna papuchi karibu. Unafanyaje? Jibu ni punyeto tu!

Madhara ya punyeto ninayoyajua mie ni kwamba eti kuna uwezekano mkubwa wa kupata hemorrhoids kama utapiga sana punyeto. hemorrhoids ni viuvimbe ambavyo hujitokeza kwenye sehemu ya haja kubwa na kusababisha mgonjwa kushindwa kukaa. Inasemekana misuli ambayo husaidia kusukuma manii wakati wa kumkojolea mwanamke inao uhusiano fulani na misuli ya haja kubwa. nadhani ni ile inaitwa sphincter muscles. ukiifanyisha kazi sana katika punyeto eti inakuwa na uwezekano wa kulegea na kupata urahisi wa kuvimba na kuleta hemorrhoids. Sina hakika sana na hili lakini hizi hemorrhoids zina desturi ya kuwapata wazee zaidi kuliko vijana. Huku kwenye ujana misuli haijalegea, na ni huku ndiko kuliko na manii kila nusu saa inayopita. Punyeto ni salama.
 
Habarini za kuamka wana JF,mateso ambyo nimeyapata ucku wa leo imenilazmu nilete uzi hapa kwa mawazo yenu,m ni kijana wa miaka......., nina promise na mdada ambaye yupo mbali kishule,mim huku nna hamu sana ya kugegeda lakn cna mchumba,inanilizmu nimsubr yeye,sasa naona mateso kwan bamia yangu huwa inasimama sana nyakat za ucku mpaka inatoa ute,je kuna madhara ya kukaa muda mrefu bila kupunguza haya mate?
Wewe KALAGABAHO!
 
Habarini za kuamka wana JF,mateso ambyo nimeyapata ucku wa leo imenilazmu nilete uzi hapa kwa mawazo yenu,m ni kijana wa miaka......., nina promise na mdada ambaye yupo mbali kishule,mim huku nna hamu sana ya kugegeda lakn cna mchumba,inanilizmu nimsubr yeye,sasa naona mateso kwan bamia yangu huwa inasimama sana nyakat za ucku mpaka inatoa ute,je kuna madhara ya kukaa muda mrefu bila kupunguza haya mate?

Muda mwingi utakuwa mtu wa negative moods au kuwa na hasira hasira kila wakati. Hili ni la ukweli na binafsi nimelifanyia utafiti. sikushauri ufanye ngono na mtu mwingine lakini ni tahadhari tu ili uweze kuji control na kutawala feelings zako.
 
Habarini za kuamka wana JF,mateso ambyo nimeyapata ucku wa leo imenilazmu nilete uzi hapa kwa mawazo yenu,m ni kijana wa miaka......., nina promise na mdada ambaye yupo mbali kishule,mim huku nna hamu sana ya kugegeda lakn cna mchumba,inanilizmu nimsubr yeye,sasa naona mateso kwan bamia yangu huwa inasimama sana nyakat za ucku mpaka inatoa ute,je kuna madhara ya kukaa muda mrefu bila kupunguza haya mate?
Madhara yaliyopo ni ya kisaikologia kutokana na mawazo! Inakubidi ujisahaulishe na hiyo kitu, uwe busy na kazi, ujishughulishe na mambo ya michezo, pia ufanye ibada kwa wingi! usinywe pombe, punguza vyakula vya mafuta, na epuka kukaa katika vijiwe vya wahuni.
Kukaa muda mrefu bila tendo la ndoa inasaidia kurudishia na kukomaza mbegu za kiume ambazo huchukua hadi siku 60 kuweza kuzalishwa na kukomaa, wakati kila bao moja linagharimu kati ya mbegu 50 million to 200 million sasa fikiria wale wapendao bao saba inakuweje?????
 
Du kweli somo la Science linatakiwa likaziwe maarifa shuleni!!!
 
Muda mrefu katika hili ni siku ngapi? Mwaka? Au karne?

Kwenye mambo ya evolution "muda mrefu" yaweza kuwa miaka MILIONI THELATHINI na zaidi mpaka miaka bilioni sita. Zaidi ya muda huo, calculations za ki-radioactivity huwa hazileti majibu sahihi.
 
Piga zoez sana mwana acha kuchek porn au pics za X toa 100% consentration kwenye kaz unayofanya. PRAY A LOT and thiny will turn back to normal
 
Piga zoez sana mwana acha kuchek porn au pics za X toa 100% consentration kwenye kaz unayofanya. PRAY A LOT and thinx will turn back to normal
 
Kutokufanya mapenzi kwa mda mrefu hakuna matatizo yoyote kwa afya yako. Mfano mimi mwenyewe niliwahi kukaa miaka saba bila kufanya mapenzi sikupata matatizo kiafya. Nivizuri Kuwamwaminifu kwa mke wako hatakama mke wako yuko mbali nawewe kwa kipindi kirefu. Ukiwamwanifu utaishi kwa raha na mani katika maisha yako ya ndoa,
 
Asante lumaraG. Naona kwenye punyeto unaelekea kukubaliana na nosspass ambaye naye ameonekana kutokubaliana nami. Naomba nifafanue kidogo kwanini naidhinisha punyeto kama namna sahihi ya kupunguza hamu ya uchi wa mwanamke. Nina hakika mtakubaliana nami kwamba ukiwa na afya njema manii yanajizalisha haraka sana kule chini kiasi cha kuhitaji kutoka japo mara moja kwa siku. Na kadri unavyokula vizuri ndiyo hitaji la kudischarge linavyokuwa kubwa. Kwa upande wangu wakati mwingine hata nikishinda na njaa bado discharge lazima. Sasa unafanyaje hapo kama mazingira hayaruhusu?
Punyeto siyo salama. Kuna athari nyingi za punyeto ikiwemo ya kuwa ------- endapo utaiendekeza kwa muda mrefu. Kumbuka kuwa naturally, mwili una control upunguzaji wa manii kwa njia ya ndoto. Fanya jaribio moja dogo tu la kuto ku sex kwa muda, say wiki tatu hivi, lazima utaota ndoto itakayopelekea ku-ejaculate, na hii ndiyo njia ya asili ya kupunguza tatizo hilo. Utaelezwa madhara zaidi ya punyeto ukihitaji.
 
hakuna madhara, tena ndio safi maana unakuwa unaundergo rejuvenation process. lol
 
habarini za kuamka wana jf,mateso ambyo nimeyapata ucku wa leo imenilazmu nilete uzi hapa kwa mawazo yenu,m ni kijana wa miaka......., nina promise na mdada ambaye yupo mbali kishule,mim huku nna hamu sana ya kugegeda lakn cna mchumba,inanilizmu nimsubr yeye,sasa naona mateso kwan bamia yangu huwa inasimama sana nyakat za ucku mpaka inatoa ute,je kuna madhara ya kukaa muda mrefu bila kupunguza haya mate?
aisee kijana unahatari kweli,angalia madhara yapo.moja ya madhara ni kuhama
kwa nyege kutoka mbele kwenda nyuma,ikitokea hivyo utaanza kuhitaji kugongwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom