hakuna madhara makubwa kukaa muda mrefu bila kufanya ngono. ila kuna mateso kidogo ya mwili. ni kama kuwa jela; kufa haufi, ila kuna kuteseka fulani hivi. mungu aliumba hicho kifaa kitumike na kutumiwa. ikiwa vinginevyo panakuwa na mateso.
ushauri wangu ni huu: fanya mazoezi au kazi lukuki zinazoifanya akili iwaze hizo kazi zaidi na kukusahaulisha habari ya papuchi. mawazo ya papuchi yanaongezeka sana ukiwa na idle time nyingi--hasa usiku. karibu Dini zote duniani zinapinga uasherati. kwa hiyo hili ninalokueleza linalenga kukulea kukubali matazamio ya jamii ya watu kuhusu njia sahihi ya kitu cha kufanya na hicho kibamia chako.
usipende sana kula nuts na vyakula vyenye protein nyingi kwa sababu vyakula hivi vinajaza haraka sana huo utete unaokusumbua. Lakini kwa kuwa mwili umetengezwa kuzalisha huo utete hata kama utakula majani tu, uwe tayari kupiga hata punyeto kupunguza mateso yako ambayo mi najua yanavyokuwa, ili huyo unayempenda aje kufurahi. wasichana wana njia nyingi sana kujua mtoto wa kiume ambaye si malaya. njia moja ikiwa tabia yao ya kupeana taarifa kwenye saluni. Ukimpa asha leo, kesho--au usiku huohuo ashura atajua tu. wana desturi ya kujitapa; hasa kama una hela nyingi au sura nzuri. wanatangaza wenzao wajue yeye ndo kakupata. na akijua mmoja kesho kila saluni ndiyo stori. heheheee---jana mwenzio asha eti shosti umeskia? tedi kanambia eti walikuwa tip top orofani na dula. he-heheeee!
jifanyishe kazi nyingi kusahau papuchi; epuka sinema za ngono. kama unayo access ya sinema nyingi kwa computer au dvd, basi jitahidi kuangalia sinema za dini, stori za ujasiri wa kivita, upelelezi labda, dokumentari za sayansi na elimu nyinginezo utapata faida sana kama mara dufu kuliko kuangalia watu wananyonya mbollo na visimi. gharama za kuendekeza ngono ni kubwa kuliko faida. unaanza kujua baada ya kuanza kulipia matibabu ya gono, kaswende au hata hiv. unaambiwa siku hivi watu hawafi ukimwi lakini kujitunza ni gharama kubwa sana ukishaupata.
sijui umenielewa?