nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Habarini waheshimiwa,
X alianza kutoa lugha za matusi kwa Y kupitia simu yake ya mkononi pasipo Y kutambua X ni nani,Y alimuonya juu ya matusi yake, baadae Y uvumilivu ulimshinda nayeye akatumia lugha ya matusi dhidi ya X na mwishowe Y akamuonya tena X kuwa hataki amutukane lakini aliendelea kumutukana na mwishowe Y akaenda polisi kushitaki mpelelezi wa kesi hiyo akadai Y afute kesi lasivyo wote washitakiwe kwa kutukanana,Y akajibu yeye alitukana baada ya X kuzidi kumtukana wakati alisha mkanya,kesi haiendi mahakamani.
Hapo mwongozo wenu nini kifanyike?
X alianza kutoa lugha za matusi kwa Y kupitia simu yake ya mkononi pasipo Y kutambua X ni nani,Y alimuonya juu ya matusi yake, baadae Y uvumilivu ulimshinda nayeye akatumia lugha ya matusi dhidi ya X na mwishowe Y akamuonya tena X kuwa hataki amutukane lakini aliendelea kumutukana na mwishowe Y akaenda polisi kushitaki mpelelezi wa kesi hiyo akadai Y afute kesi lasivyo wote washitakiwe kwa kutukanana,Y akajibu yeye alitukana baada ya X kuzidi kumtukana wakati alisha mkanya,kesi haiendi mahakamani.
Hapo mwongozo wenu nini kifanyike?