Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
Habari ya Jumapili?
Siku moja moja Obuntu hufanya maamuzi ya kutembea kutoka Mabagala Rangi Tatu (anakoishi) hadi Mbagala mission (Saint Anthony) : Kama sehemu ya kunyoosha vioungo na pia kuangalia mitaa ambayo "magari hayafiki"!
Mara kwa mara hukutana na "marafiki" wenye "usafiri" ambao baada ya kusalimiana hupenda sana kumuuliza hili swali "vipi: nikuzogeze kidogo"? au "naenda mjini vipi nikupe "lifti"? e.t.c
Ningependa kuuliza:
- Hivi ni lazima kila "mwananchi" anayetembea kwa miguu hana gari?
- Hivi kuna upungufu gani mtu anapoamua kutembe-tembea mtaani kwa miguu kwa sababu zake mwenyewe?
- Hivi ni lazima huu "utoaji wa lift" ni ishara ya "ukarimu" au "kuonyesha umaarufu"?
Siku Njema
Siku moja moja Obuntu hufanya maamuzi ya kutembea kutoka Mabagala Rangi Tatu (anakoishi) hadi Mbagala mission (Saint Anthony) : Kama sehemu ya kunyoosha vioungo na pia kuangalia mitaa ambayo "magari hayafiki"!
Mara kwa mara hukutana na "marafiki" wenye "usafiri" ambao baada ya kusalimiana hupenda sana kumuuliza hili swali "vipi: nikuzogeze kidogo"? au "naenda mjini vipi nikupe "lifti"? e.t.c
Ningependa kuuliza:
- Hivi ni lazima kila "mwananchi" anayetembea kwa miguu hana gari?
- Hivi kuna upungufu gani mtu anapoamua kutembe-tembea mtaani kwa miguu kwa sababu zake mwenyewe?
- Hivi ni lazima huu "utoaji wa lift" ni ishara ya "ukarimu" au "kuonyesha umaarufu"?
Siku Njema