msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,512
- 6,723
Unauhakika kwamba alikuwa anatekwa na sio kupelelezwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu zakaria simjui vizuri nikiri. Ila kitendo cha kutaka kumpoteza kivile kilikua cha ovyo. Tunautaratibu wa kawaida, kama mtu anajinai polis na mahakama wapo na si kutumia vikundi vya utekaji tiss
Sent using Jamii Forums mobile app