kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,362
- 4,851
Braza waache tu watoto walopoke humu JF, hawaijui hii taasisi zaidi ya kusoma mitandaoni na kusikia porojo kwa wanasiasa. Intelejensia ya taifa ni dubwana kubwa sana, huwezi kulijua hivi hivi tuUnaweza kuwa na asilimia fulani za ukweli kuhusu hiyo TISS .
Lakini umeandika kwa muhemko kiasi kwamba wewe umekuwa boya kuliko unaowatuhumu.
Mathalani mbinu wanazotumia akili yako ina mbinu moja tu na unadhani kuwa hii taasisi kuwepo kwa mujibu wa sheria nikuwa wazi kwa kila jambo au kufikiri kuwajibika kwa mihimili mingine kwa uwazi zaidi lkn nataka nikwambie kuwa nchi nyingine hizi taasisi ni independent agency yaani haziwajibiki kwa yoyote ziko huru ila zipo kikatiba.
Kwa taarifa yako hata kutunisha msuli kwa adui yako japo huna lengo la kupigana naye ni Mbinu ya kum neutralize hata kum defeat. Sasa chukulia iwe kweli huyo ametishiwa kuuawa na sasa kisaikolojia amevurugwa huoni kama lengo limetimia?
Kama unaowajua ni Tiss mazuzu kama unavyodai na waliingia kwa mgongo wa ujomba na kukosa professionalism hiyo nikukosa weledi wa hao wajomba vinasaba ambavyo umeonesha kuwa navyo kwa ukaribu sana .
Kama wewe ni mkweli uncover ID yako ujulikane weka contact zako hapo nitajua wewe ni jasiri uliyetayari kufia nchi na kile unaamini otherwise ni zuzu tu
Mwisho huenda unasumbuliwa na Wivu maana umeonesha wanajidai na vitambulisho vyao sasa kwanini utamani kufanya mabaya na kupata feva ya ID?
Kwa taarifa yako TISS ina watu wa aina zote mazuzu watashughulika na mazuzu wenzao kila ili kufanikisha. Je hukawahi sikia kuwa kuna wanawake wanfanya ufuska na kutoa papuchi kupata information? Je hao ni malaya?
Ila NIKUPONGEZE kuwa hata wewe ni asset kulingana na mahali unatakiwa kutumika japo IQ yako si lazima iwe kama yule zipo mission hutatumwa maana ni kilaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app