MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Hahgah Eti you don't have to love me because the love I have for you will be enough for both of us! Kha!
Ahaa swali hili limenifanya nifikirie kwa kina maana ya zile 'engagement rings' zinazotolewaga kama surprise! hivi mdada si anaruhusiwa kuikataa na kuomba muda wa kufikiria kwanza au ?? Lol saa ingine zile nazo zinaactigi kama viwamba sauti ati mtu mwingine anaona kabisa huyu bwana huyu hata, but akisapraiziwa anaishia kusahau mapungufu hah
Mi staki
......hahahaha.....mwanajamiiOne na chauro mmeniacha hoi....ati? Akiwa surprised na engagement ring anasahau viwango na vigezo vyote! ....na vidole juu!? hahaha....
Nakuja kuendeleza mdahalo, nimebanwa huku leo,.....madagaa ya kigoma yamechelewa....BTW, mmekisikia kibao cha KIGOMA ALL STARS? ....acha tu....
jamani sitaki kuamini kama watu watatania hata katika hili eti Mwanajamii one.Hivi kweli ndoa inasuprise? eti unafanyiwa engagement kwa suprise? huu ni uongo kabisa na wala kweli haimo mioyoni mwa watu hawa wawili. ndio maana yanawatokeaga puan unaveshwa hata mara sita.
jamani kweli mabinti sikilizen ushauri hapa jamvini, bf asikwambie kuwa anakusuprise kwa engagement jamani hebu tathmini kwanza are you real serious? je uko devoted kwake? je mapungufu yake ni changamoto kwako ama ni kiroba cha lawama na manyanyaso umejibebea? au je wewe wavaa hiyo ring kama alivyo sema Chauro wataka kuonekana kidole kinang'aa?
my dearest lito sisters ndoa hainaga kujaribu kuwen siriaz na kuweni na misimamo hakunaga suprise ndoani lol............nashukuru sana Mungu kipindi wengine tunaolewa hiyo pete ya uchumba unaveshwa siku barua ya posa ikisomwa tena unaitwa na kuualizwa kweli hii barua aliyeiandika unamjua? unakubali je uko tayari akupose ukawe mkewe unakubali basi wazazi wanamwamabia ache alama kwamba amekuposa ndipo anakuvesha pete ya uchumba na ikishafikia hapo mnaish just some few months ndoa inapita. sasa haya ya siku hizi yamekaa kiface book zaid.
dada mkubwa mj1 usisahngae pengine wengine wanaveshewa hata mitandaoni tu.
......hahahaha.....mwanajamiiOne na chauro mmeniacha hoi....ati? Akiwa surprised na engagement ring anasahau viwango na vigezo vyote! ....na vidole juu!? hahaha....
Nakuja kuendeleza mdahalo, nimebanwa huku leo,.....madagaa ya kigoma yamechelewa....BTW, mmekisikia kibao cha KIGOMA ALL STARS? ....acha tu....
sometimes kujiaminisha kuna kuja after years ya kuishi pamoja
siku ya harusi huwa ni 50/50....
ka doubt kanakuwepo
sometimes kujiaminisha kuna kuja after years ya kuishi pamoja
siku ya harusi huwa ni 50/50....
ka doubt kanakuwepo
MCHAGA HUYO ,UNAKABATI YA PICHA ,UNA NG'OMBE WA MAZIWA ,UNAKABATI LA BARIDI UNA CRDB MASTE KADI by default ukala konaSwali gumu kwakel kuna dada nilimpropose kama miezi 5 imepita mwanzon alileta kausumbufu kakike nataka sitaki nikawa nishachoka bembeleza mwanaume ghafla nilijiuliza huyu msichana anastahili kuwa my wife 1day nikapata jibu hapana kutoka moyoni.nilianza kupunguza kumtafuta matokeo yake yeye ndo ananitafuta nimempa ukwel kwa alivyonisumbua ilifika wakat nikawa nishapoteza kujiamin kumpenda.mtoto wawatu ananiita muhuni nacheza na hisia za wanawake ila ndo ivyo siwez tena kumpa moyo.wakati namtokea aliweka radhau,jeuri na ufahari wa kabila lake mbele na kuhuliza maswal ya kipumbav utazan anataka kuniajir UN. Mimefikiria umuhim wake kwangu nimeona hakuna
Ninaamini huyu niliyenaye ni mungu amenip na nilimuomba yeye na hawezi nipa mbaya na hili limejidhihirisha katika miaka tuliyoishi naye ,na hata moyo wangu uko tayari popote na huyukwenye shida na raha kabisaaa lolote linalotokea huwa sijiulizi kwanini,hali yamaisha imebadilika tunakabili bila kulaumiana ni macache ila moyo nishuhuda pekee wa mapenzi ya dhati na mtu huyu ni sahihi kwako,usikilize moyo wako,hasa wakati wa shida utajua tuuu.
siwezi kuongea hapa kwenye publik nikijaliwa nitakuelezaubarikiwe sana . Ila ni lini hasa uliamua kuomba mungu akuonyeshe kama yeye ndiye yeye na ni ishara gani alikupatia?
Nimeipenda hii khaaHahgah Eti you don't have to love me because the love I have for you will be enough for both of us! Kha!
Nimeipenda hii khaa
khe khe khe sasa huoni kama atakua amekusaidia yaani we huna haja ya kupenda lol.. kuna watu wana maneno khaaZanta huo ni sumu alokuwa anaimwaga mkaka kwa mdada ambaye ameshamwambia mie bwana sikupendi hahah yaani ingekuwa ni mie ndo ananijibu hivyo mbona ningejikuta nacheka tu kwa hacra!!
Walo kwenye mahusiano watakujibu,,,,,me nipo upande wa akina b kiro-boto hatuna wenza
khe khe khe sasa huoni kama atakua amekusaidia yaani we huna haja ya kupenda lol.. kuna watu wana maneno khaa