Kuhusu suala la mgombea wa CCM kukufuru utatu mtakatifu, yaani Mungu, mwana na roho, Kabanga alikanusha kuwepo na kitendo hicho na kueleza kuwa kauli zake zilitafsiriwa vibaya.
"Alichosema mgombea wetu ni kuhamasisha wanachama na wapenzi wake kuchagua mafiga matatu, mafiga matatu ambayo ni rais, mbunge na diwani na si vinginevyo," alisema Kabanga.
"Hata hivyo sisi kama chama tulimwita mgombea wetu na kumsihi kuacha kutumia maneno ambayo yanagusa imani kwenye kampeni zake," alisema Kabanga
Ile kauli eti tatizo ni mgombea wa CCM kuuelezea utatu katika hali ya kisiasa ndio iliyofanya waumini waliomuunga mkono watengwe proved not correct, ni propaganda tu za kanisa!
Ukweli unabaki palepale kwamba waumini wa kanisa katoliki Sumbawanga kama ilivyokuwa kwa nchi nzima walikataa maagizo ya kanisa ya kumnyima kura mgombea Ubunge wa CCM (Muislamu)na kumpa wa Chadema(mkristo), soma article ya mwanachi between the lines leo tarehe 25/12
JK amesema kuna UDINI, tuweke wazi tatizo tujadili huenda likakwisha...
Mficha maradhi mauti itamuumbwa, iko Tanzania itaumbuliwa na maradhi ya UDINi
Kama udini upo JK atuambie uko maeneo gani kuliko kutoa kauli za jumla jumla na kuziacha hewani bila kufafanua!
Huyo mwislamu ana nini mpaka awafukuzishe watu kanisani? Mbona hatujaona sehemu ambako waislamu wamegombea na kushinda wakristo wakifukuzwa kanisani? Watu wengine hamna vitu vingine vya kufanya mpaka mlete vitu visvyo na maana?
specifically s wanga ndio mfano wa udini ulioasisiwa na kanisa uchaguzi uliopita, hujui? halafu hao hao wanaibuka na kusema hakuna udini watu wa ajabu hawa!
Maeneo si ndiyo kama hayo hapo juu chagua mtu wa dini yako tu...au ulifikiri ni siri siri imefichuka
Kama JK angejua siri asingeuma maneno kwamba kuna udini tu kaachia hapo, ila ushetani uitwao kadhi na oic anaona sio udini!
Umekuja huku tena kuhesabu vizibo vya mawaziri waislam na wakristo tutolee udini wako tena ukome kabisa.Kadhi na oic haitakuwepo bana maaskofu hawataki siku wakikubali itakuwepo
Udini upo ndio maana wanaofaidi nao wanapinga
mawaziri 33 vs 17 vipi utakubali udini upo ingekuwa oppsite udini ungekuwepo ok.
Mna bahati JK anawaogopa sana maaskofu...
Kama udini upo JK atuambie uko maeneo gani kuliko kutoa kauli za jumla jumla na kuziacha hewani bila kufafanua!
Umekuja huku tena kuhesabu vizibo vya mawaziri waislam na wakristo tutolee udini wako tena ukome kabisa.
Kama JK angejua siri asingeuma maneno kwamba kuna udini tu kaachia hapo, ila ushetani uitwao kadhi na oic anaona sio udini!
Umekuja huku tena kuhesabu vizibo vya mawaziri waislam na wakristo tutolee udini wako tena ukome kabisa.
Ile kauli eti tatizo ni mgombea wa CCM kuuelezea utatu katika hali ya kisiasa ndio iliyofanya waumini waliomuunga mkono watengwe proved not correct, ni propaganda tu za kanisa!
Ukweli unabaki palepale kwamba waumini wa kanisa katoliki Sumbawanga kama ilivyokuwa kwa nchi nzima walikataa maagizo ya kanisa ya kumnyima kura mgombea Ubunge wa CCM (Muislamu)na kumpa wa Chadema(mkristo), soma article ya mwanachi between the lines leo tarehe 25/12
Kwa hiyo jk kachaguliwa kwa sababu ya dini yake na pia waislamu wengine wamechaguliwa kwa sababu ya dini zao? Sasa kama ndio hivyo wanacholalamikia ni nini hasa?
Usidanganye watu. Maelezo sahihi ni kama yalivyotolewa katika gazeti la mwananchi:
Waumini RC Rukwa 'wakiri' kukashifu
....
Lakini waumini hao sasa wanajutia kitendo chao.
Wanajitetea kuwa walifanya hivyo bila kujua kuwa walikuwa wakifanya kosa kubwa kwa kanisa lao; walifikiri wapo kwenye shamra shamra za kusherehekea ushindi wa mgombea wao.
"Hatukujua kama hili tulilokuwa tukilifanya ni kosa, bali tulikuwa tukisherehekea ushindi wa mgombea wetu ambaye alishinda katika uchaguzi huu," alisema mmoja wa waumini hao waliotengwa kijijini hapo huku akitaka jina lake lisiandikwe gazetini.
Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Sumbawanga, Charles Kabanga alithibitisha kuwepo kwa waumini wa kanisa hilo waliotoa kashfa kwa kanisa na mapadri wao wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita Oktoba 31.
Kabanga, ambaye naye ni miongoni mwa waumini wa kanisa hilo waliotengwa kutokana na madai ya kuhusika katika vitendo hivyo, alisema wakati wa kampeni aliwashuhudia baadhi ya Wakristu wakitoa kashfa kwa mapadiri hao kwa madai kuwa wanamkashifu mgombea wao wakati wao pia wana mapungufu yao.
Alisema waumini hao, ambao wengi ni wajumbe wa CCM, waliwataka mapadri kuwaachia suala la kisiasa na kwamba wandelea na kazi yao ya kuhubiri neno la Mungu.
"Wanaosema mimi nilihusika na kitendo cha kuwakashifu na kuwatukana mapadri wangu wananionea," alisema Kabanga.
"Kilichotokea ni kwamba nilikuta baadhi ya wajumbe CCM ambao pia ni waumini wa kanisa hilo wakisema mapadri wanamkashifu mgombea wetu kuwa ana tabia mbaya wakati wao wana mapungufu mengi," alisema Kabanga akiwanukuu waumini wenzake.
"Ndipo nilipoanza kuwatetea mapadiri wangu na kuwaambia watu hao waache kuzungumza hayo kwa kuwa sote ni wakirstu swa Kanisa Katoliki na hao ni mapadiri wetu ambao hutupatia huduma za kiroho. Niliwaambia kuwa hata wakisema hivyo leo, padri ni padri na ataendelea kuwahudumia," alisema Kabanga.
Alisema katika mkutano huo aliwaomba waumini wenzake kuacha kuwakashifu mapadiri, badala yake kuendelea kufuata misingi ya imani ya kanisa hilo huku wakisikiliza mafundisho yao na kuacha kufauata matendo wanaoyofikiri yapo kinyume na mwenendo na maadili ya mapadri hao.
Kuhusu suala la mgombea wa CCM kukufuru utatu mtakatifu, yaani Mungu, mwana na roho, Kabanga alikanusha kuwepo na kitendo hicho na kueleza kuwa kauli zake zilitafsiriwa vibaya.
"Alichosema mgombea wetu ni kuhamasisha wanachama na wapenzi wake kuchagua mafiga matatu, mafiga matatu ambayo ni rais, mbunge na diwani na si vinginevyo," alisema Kabanga.
Umshirikina Mkubwa inavyoonyesha!!!Kama JK angejua siri asingeuma maneno kwamba kuna udini tu kaachia hapo, ila ushetani uitwao kadhi na oic anaona sio udini!