Kutendwa kunanitesa

kidonse

Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
36
Reaction score
40
Habari wanandugu.
Nina miaka 30 sasa chini ya jua hili. Naishi peke yangu. Sina mchumba wala mpenzi ila natamani sana kama niwe na mwenzangu japo wa kubadilishana nae mawazo usiku lakini moyo umekua mzito sana. Niliwahi kuwa na mpwnzi ambayw nilika nae kwenyw mahusiano kwa muda wa miaka 6 lakini nilipotaka kumpeleka kwetu nimtambulishe rasmi aliniruka kama hanijui vile. Ni mwaka sasa tangu nimeachana nae lakini bado sumu aliyoiacha moyoni mwangu inaendelea kunitafuna juu ya mapenzi. Nisaidieni mawazo hapa nifanyaje kuondokana na hali hii...
 
mmh pole! ila si kweli kuwa wanawake wote sawa! hata siye tunateswa na baadhi ya wanaume tena sana tu! ila pole...njooo nkupoze kiaina wakati unasubiri wa kuanzisha nae tena kwa miaka mingine sita!...
Unataka kunipoza tena
 
mmh pole! ila si kweli kuwa wanawake wote sawa! hata siye tunateswa na baadhi ya wanaume tena sana tu! ila pole...njooo nkupoze kiaina wakati unasubiri wa kuanzisha nae tena kwa miaka mingine sita!...
Sawa ila mimi sitaki kupoozwa nishapoa kitambo sana
 
Jifunze kulet go bro... Mapenzi ni uchizi wa mda mfupi, huja kama tetemeko kisha hutulia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…