kidonse
Member
- Jun 15, 2016
- 36
- 40
Habari wanandugu.
Nina miaka 30 sasa chini ya jua hili. Naishi peke yangu. Sina mchumba wala mpenzi ila natamani sana kama niwe na mwenzangu japo wa kubadilishana nae mawazo usiku lakini moyo umekua mzito sana. Niliwahi kuwa na mpwnzi ambayw nilika nae kwenyw mahusiano kwa muda wa miaka 6 lakini nilipotaka kumpeleka kwetu nimtambulishe rasmi aliniruka kama hanijui vile. Ni mwaka sasa tangu nimeachana nae lakini bado sumu aliyoiacha moyoni mwangu inaendelea kunitafuna juu ya mapenzi. Nisaidieni mawazo hapa nifanyaje kuondokana na hali hii...
Nina miaka 30 sasa chini ya jua hili. Naishi peke yangu. Sina mchumba wala mpenzi ila natamani sana kama niwe na mwenzangu japo wa kubadilishana nae mawazo usiku lakini moyo umekua mzito sana. Niliwahi kuwa na mpwnzi ambayw nilika nae kwenyw mahusiano kwa muda wa miaka 6 lakini nilipotaka kumpeleka kwetu nimtambulishe rasmi aliniruka kama hanijui vile. Ni mwaka sasa tangu nimeachana nae lakini bado sumu aliyoiacha moyoni mwangu inaendelea kunitafuna juu ya mapenzi. Nisaidieni mawazo hapa nifanyaje kuondokana na hali hii...