KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Kwa hili wacha tu niwe mjima......Mkuu bado una mawazo na fikra za zama zile za ujima.
Kwa hili wacha tu niwe mjima......Mkuu bado una mawazo na fikra za zama zile za ujima.
usisahau kwamba uliwahi kuishi kwa usalama wa 100% miezi tisa tumboni mwake.:eyebrows:
kukaa tumboni miezi tisa tu mnalalamika unajua baba yangu kanibeba kwenye mapumbu miaka mingapi ??
mke wangu anaendesha semi tela hila picha yake siitoi kwa sababu maalum
Teh teh teh teh teh. Najuta kwa nn nimesoma post yako wakati nipo ndani ya daladala. Mana imenifanya nicheke ghafla bin vuuu,mpk abiria wenzangu wananishangaaa hapa.
hapo powa umebalanceNasi hatuitaki kuiona kwa sababu maalumu...
mkuu huyu ndo yule hawa the bus driver.??yaah!
Sana makini miaka ya nyuma kuna mwingine alikuwa anaitwa hawa aliendesha uda.
Pia shabiby kulikuwa na dereva mwanamke.
Na kuna mmoja wa lori alikuwa akitoka zimbabwe kwa sasa haonekani.
Wote ni makini balaa.
Ndio maana wazungu safari ndefu za kifamilia mke
huendesha gari.
kuna mazingira utashindwa tu, vipi upo kwenye ndege alafu unatangaziwa marubani ni wanawake utashuka?
Mbona wapo hata kwenye mafoli, kama EAFCO petroleum, na pia alikuwepo mmoja dereva wa SHABIBY EXPRESS
safi sana!! mabasi yanaendeshwa na vijana waliokesha na madada poa nuksi tupu,basi linaendeshwa kama limeibwa.