Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,488
Anaitwa James Fransic William,
Ni kijana aliyezaliwa kwenye familia ya watoto watatu yeye akiwa wapili kuzaliwa...akifanyia shughuli zake Kenya.
Tatizo lake la usikivu alilipata akiwa ana miezi 9 tu ...aligundulika ana malaria na amoeba...dk akampa Quinine ndo ikapelekea ulemavu wa kusikia.
Wazazi wake hawakumvunja moyo walimpenda na kumsisitiza kusoma na kufanya anachopenda...
Anasema anapenda kulala na kupiga picha.
James anasema anaingiza $400kwa siku. Wazazi wenye watoto wenye ulemavu msiwatenge watoto wapendeni na wabidisheni kusoma na wafanye wanachopenda!
Kuongezea tu James hana mpenzi😊!
Rip Mpauko!...