Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,956
- 2,439
Hongera kwa kazi, ila picha hazitoshi
Ni Fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada.
Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu.
Gharama zangu ni ndogo kulingana na uchumi wa mtanzania.
Pia nafanya marekebisho ya Nyumba zenye muonekano wa kizamani kuwa na muonekano wa kileo/kisasa.
Kazi zinakamilika kwa wakati kwa mujibu wa makubaliano.
Mfano.
Nyumba ya kawaida itakamilika kwa mda wa
20 days kwa structure na 20 days za finishing.
Napatikana Dar es salaam. Pia unaweza kunipata Instagram kama 'FUNDI MAHIRI WA UJENZI'
Mawasiliano.
0655173113
0693179844
Barua pepe:
pmoses951@gmail.com
Ok, hiyo sehemu INA slop au tambalale? Na IPO mkoa gani?Nipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room, dining, kitchen/small store, public toilet. Nafahamu kuwa ukijenga kwa kuunganisha kama ni nyingi gharama inashuka, sasa nifanyie wastani wa gharama ya kujenga apartment 12 za vyumba viwili zilizojengwa kama nyumba moja kwa design ambayo wewe unaijua. Then angalia gharama ya apartment 4 za vyumba vitatu ikijengwa pamoja na apartments 6 zenye vymba viwili. Just provide me with an average cost of the complete apartment which includes all costs of construction materials plus labour, nyumba iliyo tayari kutumika. Thanks
Hili ni Ghorofa au?
Floor Ngapi??Ndio slab ya ghorofa
Floor Ngapi??[/QUOTEni double storey house. First floor