Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Fundi mahiri wa ujenzi

JF-Expert Member
Dec 10, 2012
3,937
2,415
Ni fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada. Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu. Gharama zetu ni nafuu kulingana na uchumi wa mtanzania.

Pia, tunafanya marekebisho ya Nyumba zenye muonekano wa kizamani kuwa na muonekano wa kileo/kisasa. Kazi zinakamilika kwa wakati kwa mujibu wa makubaliano.

PIA, TUNATENGENEZA MFUMO MAJI TAKA AMBAO HAUJAZI MASHIMO YA VYOO KAMWE.
BEI ZETU NI NAFUU SANA.

Napatikana Dar es salaam. Pia, unaweza kunipata Instagram kama 'Fundi mahiri wa ujenzi'.

Mawasiliano.

0624088590
Whatsap 0655173113

Barua pepe:

paulbuildingagency@outlook.com
pmoses951@gmail.comIMG_20210715_175055_302.jpg IMG_20210714_171512_481.jpg
IMG_20210501_204350_693.jpg
2_Photo - 9.jpg
2_Photo - 8.jpg
IMG_20210401_122517_912.jpg
IMG_20210320_184736_082.jpg
IMG_20210320_184736_082.jpg
IMG_20210403_130446_219.jpg
IMG_20210423_180645_839.jpg
IMG_20210515_141726_209.jpg
IMG_20210520_111312.jpg
IMG_20210520_142336.jpg
IMG_20210524_170016.jpg
IMG_20210812_180448_269.jpg
IMG_20210812_180448_269.jpg
IMG_20210914_182134.jpg
IMG_20210524_170017.jpg
 

Attachments

  • IMG-20220803-WA0034.jpg
    IMG-20220803-WA0034.jpg
    96.8 KB · Views: 107
Ni Fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada.
Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu.
Gharama zangu ni ndogo kulingana na uchumi wa mtanzania.

Pia nafanya marekebisho ya Nyumba zenye muonekano wa kizamani kuwa na muonekano wa kileo/kisasa.
Kazi zinakamilika kwa wakati kwa mujibu wa makubaliano.

Mfano.
Nyumba ya kawaida itakamilika kwa mda wa
20 days kwa structure na 20 days za finishing.
Napatikana Dar es salaam. Pia unaweza kunipata Instagram kama 'FUNDI MAHIRI WA UJENZI'

Mawasiliano.
0655173113
0693179844
Barua pepe:
pmoses951@gmail.com

Nipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room, dining, kitchen/small store, public toilet.

Nafahamu kuwa ukijenga kwa kuunganisha kama ni nyingi gharama inashuka, sasa nifanyie wastani wa gharama ya kujenga apartment 12 za vyumba viwili zilizojengwa kama nyumba moja kwa design ambayo wewe unaijua.

Then angalia gharama ya apartment 4 za vyumba vitatu ikijengwa pamoja na apartments 6 zenye vymba viwili. Just provide me with an average cost of the complete apartment which includes all costs of construction materials plus labour, nyumba iliyo tayari kutumika. Thanks
 
Nipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room, dining, kitchen/small store, public toilet. Nafahamu kuwa ukijenga kwa kuunganisha kama ni nyingi gharama inashuka, sasa nifanyie wastani wa gharama ya kujenga apartment 12 za vyumba viwili zilizojengwa kama nyumba moja kwa design ambayo wewe unaijua. Then angalia gharama ya apartment 4 za vyumba vitatu ikijengwa pamoja na apartments 6 zenye vymba viwili. Just provide me with an average cost of the complete apartment which includes all costs of construction materials plus labour, nyumba iliyo tayari kutumika. Thanks
Ok, hiyo sehemu INA slop au tambalale? Na IPO mkoa gani?
 

Similar Discussions

21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom