Uko na proof?Halafu hii sijui ni kwa nini!!!!
Mmmh unasema kweli?Kizuri kugawana bana sio kula mmoja mmoja,Mume wa mtu mtamuu,Mkiwa singo hamuwi watamu sana
Yes mm pia ishanikuta, japo sijaoa bado...Uko na proof?

Safi sana nimekuelewa, uchoyo sio mzuri kabisa na naamini wewe sio mchoyoKweli kabisaa yaani![]()
![]()
Kweli kabisaa yaani![]()
![]()
Sasa nimeelewa kwanini watu huamua kufanya bandika bandua.Yes mm pia ishanikuta, japo sijaoa bado...
Ila pindi upo Upo Commited na mtu ndio unashanga unavyosumbuliwa tofauti na kipindi upo single....utaMingle wee lkn wanakupita tu![]()
Heeh!Kizuri kugawana bana sio kula mmoja mmoja,Mume wa mtu mtamuu,Mkiwa singo hamuwi watamu sana

Hahaha kwanini?Sasa nimeelewa kwanini watu huamua kufanya bandika bandua.