asiyetabirika
Member
- Oct 14, 2019
- 46
- 55
Yaani kupitia kauli zake na hoja zake kunaonesha hali fulani ya kujiamini, yaani tokea akiwa madarakani hata baada ya kutenguliwa nimemsikia akisema hajapewa barua ya termination.
Tofauti na matarajio kuwa angekaa kimya na kutafakari uelekeo mpya hasa baada ya kibarua chake kukoma, bado misimamo yake inaendelea na anaonyesha hali ya kujiamini kana kwamba hajali chohote na kwake ni kama ni tukio alilolitarajia kabla.
Hivi huyu Prof. ni mtu wa aina gani?, Je, anaringia elimu yake kuwa ataenda mamtoni kuitumia elimu yake kwenye taasisi za mabeberu, au anaongea kuisimamia haki?
Au tuseme ni kiburi cha kitaaluma tu anatakiwa apuuzwe?
Tofauti na matarajio kuwa angekaa kimya na kutafakari uelekeo mpya hasa baada ya kibarua chake kukoma, bado misimamo yake inaendelea na anaonyesha hali ya kujiamini kana kwamba hajali chohote na kwake ni kama ni tukio alilolitarajia kabla.
Hivi huyu Prof. ni mtu wa aina gani?, Je, anaringia elimu yake kuwa ataenda mamtoni kuitumia elimu yake kwenye taasisi za mabeberu, au anaongea kuisimamia haki?
Au tuseme ni kiburi cha kitaaluma tu anatakiwa apuuzwe?