Mimi siku zote napenda kujiweka katika nafasi ya mtoa uzi. Hivyo, nikuulize unatamani kufanya hivyo kwa msukumo upi? Wa kupata malipo mazuri au kwa sababu ya passion?
Kama jibu ni kwa sababu ya passion basi utalazimika kuanzia Diploma. Kisha uingie Shahada nk.
Kama jibu ni kwa sababu ya hela na Status, piga chini mpango wako.
Anyway, karibu sana katika ulimwengu wetu.