casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,366
- 2,180
Sasa tuache kuilaumu Elimu.
Elimu inategemea na mtu mwenyewe,unakuta elimu hiyohiyo ya darasa moja, mmoja inamsaidia mwingine inampoteza. Inategemea na akili ya mwenye elimu.
😁😁😁ni kama bangi wengine zinawatuma vizuri wanakuwa magenius,wengine wanakuwa mafala.Why wewe inakuharibu!?
Elimu inategemea na mtu mwenyewe,unakuta elimu hiyohiyo ya darasa moja, mmoja inamsaidia mwingine inampoteza. Inategemea na akili ya mwenye elimu.
😁😁😁ni kama bangi wengine zinawatuma vizuri wanakuwa magenius,wengine wanakuwa mafala.Why wewe inakuharibu!?