Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 294
Kuna rafiki yangu ana degree kamaliza UDSM ""Mlimani campus "". Wakati anasoma alijua akimaliza anapata kazi maisha yanaenda. Katafuta kazi kwa miaka mitatu bila mafanikio mwisho kakata tamaa kaishia kuwa mlevi. Nikamshauri kusoma sana sio kufanikiwa.
Sikuhizi Kajiajiri Anauza Mitumba Kariakoo
Sikuhizi Kajiajiri Anauza Mitumba Kariakoo