Kusoma masomo ya sayansi A-Level mwaka mmoja

Kusoma masomo ya sayansi A-Level mwaka mmoja

Habari zenu wanafamilia.

Hebu tushauliane hapa,hivi inawezekana kusoma masomo ya sayansi ya A level kwa mwaka mmoja na ukafaulu vizuri kuendelea na chuo kikuu.mfano wa masomo yenyewe ni PGM.

Naombeni ushauri wenu wanajamvi.

usi-complicate maisha mkuu hiyo siyo H nini nini we kama unataka dv4.99 jaribu uprove mwenyewe,my take kama ulshaptaga a-level bahat mbay mamaa Ndalichako akakudaka ukirudia huo mwaka utatosha ila kama ndo hata topic za phys a-lvl hujui idadi yake usipte short cut..
 
Mkuu yaani usiombe huo msuli wake, hiyo miaka miwili yenyewe bado inakua michache maana shule inakaba sana, naongea kwa experience yangu ya A'level nilisoma mchepuo wa sayansi.
 
Kuwezekana inawezekana. Ila mwisho wa siku ni uwezo wako tu na kiasi gani unaji dedicate kwenye hilo suala ndo vina matter.
 
Habari zenu wanafamilia.

Hebu tushauliane hapa,hivi inawezekana kusoma masomo ya sayansi ya A level kwa mwaka mmoja na ukafaulu vizuri kuendelea na chuo kikuu.mfano wa masomo yenyewe ni PGM.

Naombeni ushauri wenu wanajamvi.

haiwezakani usijidanye comb za sayansi ni shida,topics kama calcus or mechanics unaweza ukachukua miezi4 -6.miaka 2 yenyewe ni michache,
 
Japo nilikuwa nasoma CBG kama mtahiniwa wa kujitegemea(sio kurisiti) mwaka mmoja ilishindikana,nilikuwa nachagua topic muhimu huku nikiiacha jiografia kwanza ili nije niisome mwishoni huku nikifanya revision za bio na chem………kwa kifupi hueezi. Miaka miwili kitu gani mkuu? tulia,soma kombi yako vizuri na utafanikiws!
 
thanx,for your comments I real appreciate....!

Endeleeni kunipa mawazo yenu wakubwa,kiukweli mmenijenga.
 
Back
Top Bottom