MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,236
- 14,206
Habarini za muda huu wakuu.
Nilikuwa nauliza.. kama mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu (HESLB) nikiamua kusitisha masomo chuoni kwa mwaka husika, halafu nikataka kuomba tena kwa mwaka unaofuata, natakiwa kuanza kufanya tena maombi ya mkopo au kuna process gani za kufuata?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nauliza.. kama mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu (HESLB) nikiamua kusitisha masomo chuoni kwa mwaka husika, halafu nikataka kuomba tena kwa mwaka unaofuata, natakiwa kuanza kufanya tena maombi ya mkopo au kuna process gani za kufuata?
Sent using Jamii Forums mobile app