Kusini: Wabunge CHADEMA ni vilaza!

Nyamgluu

JF-Expert Member
Mar 10, 2006
3,160
1,718
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.

VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
 
waje pia na dodoma. sio siri kuna haja ya kufanya kazi katika mode ambayo ni comprenhensive na inclusive!
 
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.

VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!

Si bure utakuwa umetumwa. Unatutukania viongozi wetu hivi hadharani na mods wanakuachia tu? Yaani viongozi wa kule nitokako ni vilaza? Wewe ni nani hadi uwatusi namna hiyo viongozi wetu?
 
Chadema ni mali ya watu wa kaskazini, nilishasema cku nyingi. Kusini mwa Tanzania, hakuna chama cha upinzani. Hata Dr.Slaa hakufika kusini... Kule wilayani..
 
Chadema ni mali ya watu wa kaskazini, nilishasema cku nyingi. Kusini mwa Tanzania, hakuna chama cha upinzani. Hata Dr.Slaa hakufika kusini... Kule wilayani..
vidole kwenye keyboard vinapotengana na kasi ya ubongo kufikiri.
pole athari za propaganda za Tambwe hiza na makamba, pole sana.
 
duh kumbe mtu akisema ataendelea kuimba hata kama ni muheshimiwa ni kilaza? Kwa tafsiri ya haraka haraka ww ndio kilaza wa kutupwa!
 
Horseshoe nijuavyo mimi kilaza ni mtu mzembe incompetent,kama ina maana tofauti na hio naomba unijuze.
 
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.

VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!

Mbona una haraka hivyo? au wewe ni shushushu unataka kujua CDM wanapanga nini kwa sasa?
 
hakuna watu nawachukia km wanaotumia huu msemo wa kusini sijui kaskazini. kwa nini ujumuishe namna hiyo? na lawama nyingine nawatupia watu wangu wanaotoka mikoa ya lindi mtwara ruvuma. wengi wetu tuna ona ni km udhaifu fulani kutokea au kusema natokea mtwara au lindi au ruvuma, utakuta mtu anasema mimi mwenyeji wa mikoa ya kusini au atasema kwetu kusini huko KWA NINI UNAOGOPA KUSEMA NATOKEA SONGEA? au "NTWARA" mimi mbona mtu akiniuliza unatoka wapi namwambia mie kwetu songea sisemi kusini. mbona watu wa morogoro,tanga dodoma, mwanza wanataja mikoa yao bila hofu. tuache hizooo kwenu ni kwenu tu na wewe mleta mada achana na mambo ya kusini taja mikoa otherwise uliwapima lini ukaona wana mapungufu?
 
duh kumbe mtu akisema ataendelea kuimba hata kama ni muheshimiwa ni kilaza? Kwa tafsiri ya haraka haraka ww ndio kilaza wa kutupwa!


Mkikaa sehemu wote mna akili nzuri hata vitabu vya utambuzi vitakosa soko, huyo msameeni bure ndio mwisho wauwezo wake wakufikiri, angejuwa mbunge John Komba ni jinsi gani huko alisaidia kwa kiasi kikubwa kuiombea kura ccm kwa stlyle ya tienitieni kwa moyooo mmoja asingeongea maneno ya kuwavunjia watu heshima zao. na watu kama hawa ni unskills ndio maana anashindwa kuheshimu vipaji vya watu wengine. kumbuka mkataba wa ajila ya ubunge ni miaka mitano, lakini kipaji ni cha milele. kuna maisha hata baada ya kutokuwa mbunge.
 
Horseshoe nijuavyo mimi kilaza ni mtu mzembe incompetent,kama ina maana tofauti na hio naomba unijuze.

sugu kumentain 'status quo' ndo ukilaza,hii sio 'going concern'kweli? Wenye professional skepticism watakushangaa mkuu. Ukibadili heading na kuondoa matusi,thread yako ingeleta maana kubwa sana ktk kujenga taifa.
 
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.

VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!


unapozaa mtoto unategemea hajue kila kitu,hao vilaza wape miezi kadhaa watafundwa tuna kuwa sawa.Hata hawa unaowaona leo wako smart hawakuwa hivyo kwa siku chache.Give them time.usiwahukumu sasa kwani ndiyo kwanza malezi yameanza.
 
yUKO SAWA MSIMLAUMU KUSINI PAMEPOA SANA WANASHINDWA HATA NA KAFULILA WA KIGOMA
 
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.

VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!

Dhamira yako ya kuwa na wabunge sharp ni nzuri. Ulionao ndiyo wako wachangamshe wape support; nguvu ya wabunge inatokana na chagizo la wananchama na watu wa eneo hilo.
 
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.

VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!

ni kweli, nionavyo mimi ni kwa dakta slaa kutumia muda mwingi kelimisha wanachi wengi wasioamini kwamba tnzania bila ya ccm inawezekana , watumie ruzuku ya chamavizuri hasa kuimarisha chama vijijini ilikupata walinda kura na wapiga kura wazuri 2015
 
Mbona una haraka hivyo? au wewe ni shushushu unataka kujua CDM wanapanga nini kwa sasa?

Soma signature yako.

Chimunguru your anger is unfounded, I believe your reaction is simply an infiriority complex. My reference of the south was merely geographical!! Sasa nashindwa hata nikujibuje na hysteria like reaction uliyokua nayo.

Kagemero, tuliwachagua wabunge tukijua kua watatrepresent ipasavyo, unavyosema tuwape mda ni kichekesho. Kweli nimemchagua mbunge wangu atetee haki yangu wewe unaniambia nimpemuda aweze kujifunza jinsi ya kuniwakilisha katika kuleta maendeleo nchini kwangu??

Gsala, Matola na Mchaka chaka. Hehehe ilikua nisiwajibu lakini ah nina kamda kakupoteza. Swala la upeo wa akili sio mahali pake paku u display. Kwanza we can go to lengths discussing the issue of intillegence na frankly sijui kama mna intelligence ya kucope.
Comment yangu kuhusu sugu ni kwamba nilitegemea katika wakati huu (particularly NOW) ningetegemea wawe mstari wa mbele sana katika kupiga kelele za ubadhilifu ndani ya serikali ya CCM. Ila kelele tunazosikia ni huko KASKAZINI TU je ni kwamba huko KUSINI CCM ni wasafi na hawana madhambi ambayo wanaweza kuya expose ili kuleta muamko kwa watu wao kama ilivyo KASKAZINI????
Matola nawaongelea wabunge wa Chadema na sio CCM.
 
Back
Top Bottom