Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,718
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!